kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Ni wazi kabisaHizo kesi unaweza kushangaa kwamba Mzee alihusika.
Yaani acha tuwachangje hawa wapambanaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wazi kabisaHizo kesi unaweza kushangaa kwamba Mzee alihusika.
Yaani acha tuwachangje hawa wapambanaji.
-MATAILAKama wanasiasa wenyewe ndo wakina Sativa Mimi nasema tunaongozwa na MATAILA.
hapa Kuna Uzi unasema Mwanasiasa Tena MKIMBIZI amewachangia wakina George sanga MILIONI Moja baada ya kutoka jera
Swali huyo sativa ni Mwanasiasa wa nchi Gani?chama Gani? Je mwaanasiasa anashindwa kwenye kamali huyo ni Mwanasiasa kweli?kumchangia Lissu aliyepigwa nae lisasi.kisa midomo Yao ndo wanakuwa wanasiasa? Ntakuwa wa MWISHO kumwita sativa Mwanasiasa kisa alipigwa risasi ya komwe.
Mkuu,kwavile hufi leo sifi leo ni bora zaidi ungejikita kwanza kujifundisha uandishi sahihi wa lugha yako ili uiandike kwa ufasaha zaidi,Kama wanasiasa wenyewe ndo wakina Sativa Mimi nasema tunaongozwa na MATAILA.
hapa Kuna Uzi unasema Mwanasiasa Tena MKIMBIZI amewachangia wakina George sanga MILIONI Moja baada ya kutoka jera
Swali huyo sativa ni Mwanasiasa wa nchi Gani?chama Gani? Je Mwanasiasa anashindwa kwenye kamali huyo ni Mwanasiasa kweli?kumchangia Lissu aliyepigwa nae lisasi.kisa midomo Yao ndo wanakuwa wanasiasa? Ntakuwa wa MWISHO kumwita sativa Mwanasiasa kisa alipigwa risasi ya komwe.
Upuuzi kwa hiyo ni mwanachama wa chadema au unajipendekeza nae!Amekimbia Mauaji ya kupangwa
Kwakuwa ujaelewa nenda kakojoe/ kakojolewe ulale, samahani hapa jf hatujuani jinsia ndio maana nimeguss both sideMkuu,kwavile hufi leo sifi leo ungejikita kwanza kujifundisha uandishi sahihi wa lugha yako ili uiandike kwa ufasaha zaidi,
Ujumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi.
Nimeguss=nime-guess.Kwakuwa ujaelewa nenda kakojoe/ kakojolewe ulale, samahani hapa jf hatujuani jinsia ndio maana nimeguss both side
hujaelewa ✅Kwakuwa ujaelewa nenda kakojoe/ kakojolewe ulale, samahani hapa jf hatujuani jinsia ndio maana nimeguss both side
Hela anazotoa sativa,zinatoka kwa Maria sarungi...
Ametoka kuwashwa! Mil.3 usiku wa jana kwa Chelsea!
Huo upepo na nguvu ya kuchanga M inatoka wapi?
Unayajua maumivu ya kuliwa kwenye betting!? Hasa kwa timu uliyoiamini?!
Hata Dhakari haisimami! Kmmmk
Changia na wewe hata 5k ulizopewa na Mange.Hela anazotoa sativa,zinatoka kwa Maria sarungi...
Ametoka kuwashwa! Mil.3 usiku wa jana kwa Chelsea!
Huo upepo na nguvu ya kuchanga M inatoka wapi?
Unayajua maumivu ya kuliwa kwenye betting!? Hasa kwa timu uliyoiamini?!
Hata Dhakari haisimami! Kmmmk
Niache kuchangia wagonjwa,wazee na Watoto yatima nije kuchangia wahuni Hawa.Taarifa kutoka Chadema zinaeleza kwamba, Baada ya kushinda Kesi ya Uongo ya Mauaji waliyobambikiwa na Serikali ya CCM ili kuwakomoa, Wafungwa hao wa Kisiasa waliorundikwa Jela kwa miaka mitano wanahitaji misaada ya kibinadamu ili waweze kuendana na hali halisi ya maisha kama binadamu wengine waliokuwa Uraiani.
Namba ya kupokea michango imewekwa na ina jina la Mhanga George Sanga mwenyewe
View attachment 3189564
Miongoni mwa Wachangiaji wa Mwanzo kabisa kujitokeza yumo Sativa, Mkimbizi wa Kisiasa aliyepangwa kuuawa na wanajifanya wenye Nchi kabla ya Mungu kuingilia kati na kukataa mauaji yake ya kishamba, Wauaji wake wote wametajwa hadharani ila kwa vile walitumwa hawataguswa, lakini Mungu hatowaacha.
Mkimbizi Sativa amechangia kitita cha hela ya madafu mil 1
View attachment 3189567
Mungu Ibariki Chadema.
Mkosoe ila usimkejeli kwa masaibu yaliyomkutaKama wanasiasa wenyewe ndo wakina Sativa Mimi nasema tunaongozwa na MATAira
hapa Kuna Uzi unasema Mwanasiasa Tena MKIMBIZI amewachangia wakina George sanga MILIONI Moja baada ya kutoka jela
Swali huyo sativa ni Mwanasiasa wa nchi Gani?chama Gani? Je Mwanasiasa anashindwa kwenye kamali huyo ni Mwanasiasa kweli?kumchangia Lissu aliyepigwa nae lisasi.kisa kamdomo ndo wanakuwa wanasiasa? Ntakuwa wa MWISHO kumwita sativa Mwanasiasa kisa alipigwa risasi ya komwe kisa kamdomo
Uzi hausemi waliochanga ni wanasiasa. Ila waliochangiwa ndiyo wafungwa wa kisiasa walioshinda kesi ya kubambikiwa/kusingiziwa. Neno kamdomo ulilotumia linaonesha ulifurahia waliofungwa au kuumizwa hata kuuwawa walistahili kwa kuwa na kamdomo. Hizi siasa, siasa za kiafrica kufurahia damu za watu wakati hata vyoo vya shule, madaraja na elimu tu hamuwezi kumudu ni ujima.Kama wanasiasa wenyewe ndo wakina Sativa Mimi nasema tunaongozwa na MATAira
hapa Kuna Uzi unasema Mwanasiasa Tena MKIMBIZI amewachangia wakina George sanga MILIONI Moja baada ya kutoka jela
Swali huyo sativa ni Mwanasiasa wa nchi Gani?chama Gani? Je Mwanasiasa anashindwa kwenye kamali huyo ni Mwanasiasa kweli?kumchangia Lissu aliyepigwa nae lisasi.kisa kamdomo ndo wanakuwa wanasiasa? Ntakuwa wa MWISHO kumwita sativa Mwanasiasa kisa alipigwa risasi ya komwe kisa kamdomo
Arguing with the Idiot rogojin, proves you're on nightmare in the land of fools!Unajuaje mambo ya mfuko wa mtu? Focus kwenye mfuko wako na kile akili yako inachokutuma