Pre GE2025 Namna ya kuwachangia Wafungwa wa Kisiasa, George Sanga na wenzake yatajwa

Pre GE2025 Namna ya kuwachangia Wafungwa wa Kisiasa, George Sanga na wenzake yatajwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Changia na wewe hata 5k ulizopewa na Mange.
Ujione usivokuwa na akili kuandika "Ilicit material.
Unajua maana ya neno illicit?!
A bunch of fools like you kule kwetu carribbean...deserves to suck a huge tango and banana.
 
Hivi mtu anakaa ndani muda wote huo baadae inakuja kubainika hakuwa na kosa hivi wanaosingizia watu kesi kubwa kama hizi wanajisikiaje
 
Taarifa kutoka Chadema zinaeleza kwamba, Baada ya kushinda Kesi ya Uongo ya Mauaji waliyobambikiwa na Serikali ya CCM ili kuwakomoa, Wafungwa hao wa Kisiasa waliorundikwa Jela kwa miaka mitano wanahitaji misaada ya kibinadamu ili waweze kuendana na hali halisi ya maisha kama binadamu wengine waliokuwa Uraiani.

Namba ya kupokea michango imewekwa na ina jina la Mhanga George Sanga mwenyewe

View attachment 3189564

Miongoni mwa Wachangiaji wa Mwanzo kabisa kujitokeza yumo Sativa, Mkimbizi wa Kisiasa aliyepangwa kuuawa na wanajifanya wenye Nchi kabla ya Mungu kuingilia kati na kukataa mauaji yake ya kishamba, Wauaji wake wote wametajwa hadharani ila kwa vile walitumwa hawataguswa, lakini Mungu hatowaacha.

Mkimbizi Sativa amechangia kitita cha hela ya madafu mil 1

View attachment 3189567

Mungu Ibariki Chadema.
Tunataka kwanza tupate mrejesho wa fedha tulizomchangia Lissu kununua gari!
 
Wewe unachobadili ni nini? Kila mtu ana hiari yake. Huna mamlaka ya kuzuia maamuzi ya mtu. Kalale ujambe
Wee ni...
1000015430.jpg
 
Back
Top Bottom