JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,868
- 6,453
Unajua maana ya neno illicit?!Changia na wewe hata 5k ulizopewa na Mange.
Ujione usivokuwa na akili kuandika "Ilicit material.
ππππChangia na wewe hata 5k ulizopewa na Mange.
Ujione usivokuwa na akili kuandika "Ilicit material.
Wamelewa madarakaHivi mtu anakaa ndani muda wote huo baadae inakuja kubainika hakuwa na kosa hivi wanaosingizia watu kesi kubwa kama hizi wanajisikiaje
Ni ujinga tu kwani madaraka watakaa nayo milele?Wamelewa madaraka
Tunataka kwanza tupate mrejesho wa fedha tulizomchangia Lissu kununua gari!Taarifa kutoka Chadema zinaeleza kwamba, Baada ya kushinda Kesi ya Uongo ya Mauaji waliyobambikiwa na Serikali ya CCM ili kuwakomoa, Wafungwa hao wa Kisiasa waliorundikwa Jela kwa miaka mitano wanahitaji misaada ya kibinadamu ili waweze kuendana na hali halisi ya maisha kama binadamu wengine waliokuwa Uraiani.
Namba ya kupokea michango imewekwa na ina jina la Mhanga George Sanga mwenyewe
View attachment 3189564
Miongoni mwa Wachangiaji wa Mwanzo kabisa kujitokeza yumo Sativa, Mkimbizi wa Kisiasa aliyepangwa kuuawa na wanajifanya wenye Nchi kabla ya Mungu kuingilia kati na kukataa mauaji yake ya kishamba, Wauaji wake wote wametajwa hadharani ila kwa vile walitumwa hawataguswa, lakini Mungu hatowaacha.
Mkimbizi Sativa amechangia kitita cha hela ya madafu mil 1
View attachment 3189567
Mungu Ibariki Chadema.
Illicit.Unajua maana ya neno illicit?!
A bunch of fools like you kule kwetu carribbean...deserves to suck a huge tango and banana.
Wanaamini hivyoNi ujinga tu kwani madaraka watakaa nayo milele?
Arguing with the Idiot rogojin, proves you're on nightmare in the land of fools!
Wee ni...Wewe unachobadili ni nini? Kila mtu ana hiari yake. Huna mamlaka ya kuzuia maamuzi ya mtu. Kalale ujambe