Namna ya kuweza kutunza mshahara wako ukutane na wa mwezi unaofuata

Namna ya kuweza kutunza mshahara wako ukutane na wa mwezi unaofuata

Tatzo hata ukipanga bajet kuna watu pia Wana baki na Negative, Assume
[emoji117]Mtu anapokea take home laki 5
Na anafamilia na watoto
[emoji117]Chakula kila siku 10,000x30=300,000
[emoji117]Kodi ya landlord chumba na sebure=let's say 100,000
[emoji117]Nauli kila siku 2,000x30=60,000
[emoji117]Mengineyo kazini chai 1000 kila siku, vocha na emergency nyngnezo watoto kuugua mke kusuka Wazazi nyumbani,mchepuko, bia kidogo, umeme,maji duhh[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Angalia hapo matumizi tu ya muhimu yashazidi laki 5 na kuzidi


Zamani Wazazi walikuwa wanasema mtoto wetu kapata Kazi kaoa ametusahau,atakuwa amerogwa tu huyo mwanamke kumbe masikini anaogopa hata kupiga simu kuwajulia Hali sababu hana kitu
Umemaliza mkuu
 
Hoja nzuri Sana hii

Hapo kwenye suluhisho ...hiyo Point no 04 watu wakiizingatia ,watafanikiwa ...Watu wakubali kuishi kawaida kabisa ..haya Mambo ya kujifanya wa kisasa ,kununua ma vitu ya gharama ,starehe ,matumizi Bila budget ,wakati unakipato constant ni mbaya Sana...Utalaumu mshahara hautoshi ..kumbe huna budget .... Tujifunze kuishi kulingana na vipato vyetu..

Utashangaa mtu kwa wakati wa lunch baada ya chakula ananunua juice ,soda, maji kwa wakati mmoja, wakati ni Unnecessary ..au Aina ya usafiri anaotumia hauko constant ..Leo kapanda daladala, kesho bolt. ,siku nyingine boda ..Yan hana mfumo maalumu .... Kuishi Bila mpangilio ndo kunafanya watu waseme Mshahara haukai. ..Sasa utakaaje wakati huna budget ..unaishi ishi tuu

Kivyovyote vile hata kama unaingiza pesa ya kawaida. Jifunze utamaduni wa ku save...life is tough kwel kweli ..
 
Tatzo hata ukipanga bajet kuna watu pia Wana baki na Negative, Assume
[emoji117]Mtu anapokea take home laki 5
Na anafamilia na watoto
[emoji117]Chakula kila siku 10,000x30=300,000
[emoji117]Kodi ya landlord chumba na sebure=let's say 100,000
[emoji117]Nauli kila siku 2,000x30=60,000
[emoji117]Mengineyo kazini chai 1000 kila siku, vocha na emergency nyngnezo watoto kuugua mke kusuka Wazazi nyumbani,mchepuko, bia kidogo, umeme,maji duhh[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Angalia hapo matumizi tu ya muhimu yashazidi laki 5 na kuzidi


Zamani Wazazi walikuwa wanasema mtoto wetu kapata Kazi kaoa ametusahau,atakuwa amerogwa tu huyo mwanamke kumbe masikini anaogopa hata kupiga simu kuwajulia Hali sababu hana kitu
Hapo kwenye chakula kama utafanikiwa kununua vyakula vyote muhim ukaweka ndan kama mchele maharage unga sukar etc itakusaidia kupunguza gharama mana rejareja ni gharama zaidi.. pia kama na friji likiwepo mkamnunua viungo angalao kila wik au wik mbil nayo itasaidia kupunguza gharama..mana utaenda kununua sokon ndo bei nafuu tofaut na gengen.

Pia mkaa ukitumika kuchemshia vitu kama nyama maharage makande au hata kupikia wali..ges inakua imebak na mapishi ya vyakula visivyokaa mda mrefu jikon.

Kwenye kusuka hapo kwa budget hiyo angalao kwa mwez isizid 20,000 kwa ajil ya mama watoto kusuka.Wanawake tuna misuko mingi na yenye gharama sana tu Ila kwa mazingira hayo bibie anatakiwa awe mwelewa tu asiwe complicator kwa kutaka misuko ya kuanzia may be ya kuanzia fifty huko.

NACHOWEZA KUKUSHAURI KAMA MAMA WATOTO SIO MFANYAKAZI WA KUAJIRIWA AU KUJIAJIRI...JITAHIDI UMTAFTIE KITU KAMA BIASHARA YENYE MTAJI UTAKAOWEZA KUUMUDU KULINGANA NA UCHUMI WENU MUWE NA MALENGO YA KUINGIZA FAIDA YA ELFU KUMI TU KWA SIKU. KUNA BIASHARA NYINGI ZINATUMIA MTAJI WA CHINI YA LAKI MOJA NA MKAPATA ELFU KAMA FAIDA YENU KWA SIKU..
 
Tatzo hata ukipanga bajet kuna watu pia Wana baki na Negative, Assume
[emoji117]Mtu anapokea take home laki 5
Na anafamilia na watoto
[emoji117]Chakula kila siku 10,000x30=300,000
[emoji117]Kodi ya landlord chumba na sebure=let's say 100,000
[emoji117]Nauli kila siku 2,000x30=60,000
[emoji117]Mengineyo kazini chai 1000 kila siku, vocha na emergency nyngnezo watoto kuugua mke kusuka Wazazi nyumbani,mchepuko, bia kidogo, umeme,maji duhh[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Angalia hapo matumizi tu ya muhimu yashazidi laki 5 na kuzidi


Zamani Wazazi walikuwa wanasema mtoto wetu kapata Kazi kaoa ametusahau,atakuwa amerogwa tu huyo mwanamke kumbe masikini anaogopa hata kupiga simu kuwajulia Hali sababu hana kitu
Umeongea ukweli mtupu
 
Kumekuwa na malalamiko mengi juu ya mishahara ya waajiriwa wengi kutokutana yaani mishahara kuwahi kuisha kabla ya muda wa kupokea mshahara mwingine. Hii hupelekea walio wengi kuamua kuzidharau kazi za kuajiriwa na kudai mishahara iongezwe bila kufikiria kuwa hata wenye mishahara mikubwa zaidi yao pia wanalalamikia suala hilo hilo.

Sababu zinazopelekea kuisha kwa mishahara kabla ya mwezi kuisha ni;
1. Mahitaji mengi kuliko kipato chako
2. Kuwa tegemezi kwa watu wengi
3. Kutokuwa na chanzo kingine cha kukuwezeshea kipato
4. Kutokuwa na bajeti ya kueleweka

Kwahiyo, kutokana na kutozijua sababu Kama hizo waajiriwa wengi huanza kuzichukia kazi za kusubiria mshahara mwisho wa mwezi na kuamua kujiajiri wenyewe.

Hivyo basi, fanya yafuatayo ili uweze kubaki na mshahara wako mpaka mwezi uishe

1. Punguza utegemezi kutoka kwa watu wengi. Hapa watu wengi hasa ukiajiriwa unaonekana ndio una hela kuliko watu wengine katika familia, hivyo huna budi kupunguza wanaokutegemea ubaki na wake wa lazima kama vile mke na watoto pamoja na kushirikiana na ndugu wengine kuwatunza wazazi wenu na sio wewe pekeyako.

2. Panga bajeti ya matumuzi yako ya lazima kabla ya kuupokea mshahara ili uepishe matumizi yaliyi nje ya bajeti.

3. Tafuta namna nyingine ya kipato tofauti na mshahara wako, mfano kama una mke au mme mfungulie hata genge la matunda,atakusaidia hata katika masuala ya nauli na chakula. Au Kama una nafasi ya kufuga wanyama na ndege fanya ivo.

4. Kubali kuwa mtu wa kawaida sana, hapa unatakiwa kuepuka kuiga maisha ya watu wengine, wewe ishi kawaida tu.

Kwa kuhitimisha ningependa kutoa ushauri kwa waajiriwa wenzangu kuwa hatuna budi kujituma sehemu zetu za kazi na kujiongezea sifa nzuri kwa watu maana hujui kesho yako itakuwaje, huenda ukapandishwa cheo, au sifa zako zikawavutia wengine kukuhitaji na kukupandishia mshahara.
Mtoa mada umetoa mwongozo mzuri sana kwa watu wenye kipato constant! Kwa wale ma junior katika kazi mie nashauri tutafute tu kamradi angalau hata ka kuingiza dh. 5000/= net profit Aisee! Mshahara haujawahi kumtosha mfanyakazi hata Siku moja.Nahisi mshahara umelaaniwa!!! Imagine unachukua hela tat 30 unaiweka kwenye mto wa kulalia kisha kila Siku ni minus hakuna plus mwisho wa Sikh unakuta hela imeisha
Kuna jamaa yangu ananunua bahasha za khaki kisha anapaki hela kulingana na budget mfano
(1) Sokoni tsh 2000×30=60,000/=(anaipaki kwenye bahasha juu imeandikwa SOKONI
(2)Kitafunio tsh 2000×30=60,000/=(anapaki kwenye bahasha....)
(3)Michele tsh.30000/(anapaki....)
(4) usafiri 4000×30=120;000/=(anapaki....)
N.K .....Akishapaki anabaki hana hata tsh.mia mkononi kisha anaweka zile bahasha kwenye draw.ufunguo mmoja mke mwingine wa kwake na anajihakikishia ni marufuku Ku diverge fund yaani MF achomoe hela ya kitafunio kutoka bahasha ya hela sokoni !!
BAJETI YAKE INAKUWA STRAIT RELI NA TRAIN NA ANAFIKA NA INAMUEPUSHA KUKOPA KOPA MITAANI.
 
Mtoa mada umetoa mwongozo mzuri sana kwa watu wenye kipato constant! Kwa wale ma junior katika kazi mie nashauri tutafute tu kamradi angalau hata ka kuingiza dh. 5000/= net profit Aisee! Mshahara haujawahi kumtosha mfanyakazi hata Siku moja.Nahisi mshahara umelaaniwa!!! Imagine unachukua hela tat 30 unaiweka kwenye mto wa kulalia kisha kila Siku ni minus hakuna plus mwisho wa Sikh unakuta hela imeisha
Kuna jamaa yangu ananunua bahasha za khaki kisha anapaki hela kulingana na budget mfano
(1) Sokoni tsh 2000×30=60,000/=(anaipaki kwenye bahasha juu imeandikwa SOKONI
(2)Kitafunio tsh 2000×30=60,000/=(anapaki kwenye bahasha....)
(3)Michele tsh.30000/(anapaki....)
(4) usafiri 4000×30=120;000/=(anapaki....)
N.K .....Akishapaki anabaki hana hata tsh.mia mkononi kisha anaweka zile bahasha kwenye draw.ufunguo mmoja mke mwingine wa kwake na anajihakikishia ni marufuku Ku diverge fund yaani MF achomoe hela ya kitafunio kutoka bahasha ya hela sokoni !!
BAJETI YAKE INAKUWA STRAIT RELI NA TRAIN NA ANAFIKA NA INAMUEPUSHA KUKOPA KOPA MITAANI.
Vipi Kama Kuna dharura mfa kuumwa?
 
Vipi Kama Kuna dharura mfa kuumwa?
Jamaa akizidiwa alikuwa anamega kutoka kila account then anazidi kubana matumizi let say kama kama alikuwa ananunua mkate wa 2500 anaenda kwa buku mbili na alikuwa haingii salary advance kwa issue za kitoto labda msiba.
 
Hakika ni kweli kabisa...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Jamaa akizidiwa alikuwa anamega kutoka kila account then anazidi kubana matumizi let say kama kama alikuwa ananunua mkate wa 2500 anaenda kwa buku mbili na alikuwa haingii salary advance kwa issue za kitoto labda msiba.
Inahitaji nidhamu na kujitoa kwa hali ya juu hii,nitajaribu
 
Back
Top Bottom