Namna Yanga wanafanya vitu vingi watatuacha sisi Simba

Namna Yanga wanafanya vitu vingi watatuacha sisi Simba

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Kwa namna Yanga wanafanya mambo yao naiona kesho ya Yanga ni kubwa kuliko SIMBA
  1. Wameandika katiba ambayo wanaishi nayo sasa. Eng. Hersi ataipeleka Yanga mbali
  2. Wanasajili wanachama online which is a good thing....upande wa SImba mambo mengi yako kimya kimya hakuna uwazi.
  3. Camp ya Yanga iko serious na kisiri sana compared na Simba kila mechi ya kirafiki inaonekana in which mapungufu ya TIMU kila mtu anayaona(hii inaleta maneno sana). Training Camp ya SImba ipo open yeyeote anafika na anawaona wanavyofanya mazoezi. Yanga sometime ni closed door.
  4. Wanaajiri professional kitu ambacho kitawavusha
  5. Uswahili hauwezi kuisha lakini naona Yanga kama uswahili unapungua
  6. Yanga watakuja kujenga Uwanja mapema ya SImba kwa sbb ya transformation wanayoenda nayo
  7. Simba kuendelea kugambo na Mgunda tu peke yake itatucost huko mbeleni kwenye mechi za kiume.
  8. Simba mafather wengi sana na huwezi kuwaondoa kwa sbb mfumo unawabeba mfano MKUDE amechoka, Onyango amechoka, Nyoni amechka, bocco amechoa. Sasa SImba ukimdhibiti Chama na PHIRI umeimaliza timu
  9. Jiulize kwa nini SImba hawaweki wazi mambo yao mfano Mkataba wa MO na SIMBA hauonekani
  10. Yanga pamoja na kuwasponsored na GSM lakini MIKATABA ya GSM vs YANGA inaonekana wazi
  11. Yanga kusajili wanachama online hii ni hatua kubwa mnooooo kama wanavyofanya huko duniani.
SIMBA AMKENI. SIKU MO AKIONDOKA TUTALIA NA KUSAGA MENO ni wakati sasa wa Viongozi wa SIMBA kuweka mazingira mazuri kati ya MO na SIMBA ili hata akiondoka abaki kama mwekezaji ambaye kuna written doc. SIMBA tengenezeni katiba mpya itayoipa simba Nguvu kwa wawekezaji na wanachama. Hii ndio sustainability inayohitajika na tupunguze uswahili.

NAWASILISHA.
 
Kwa namna Yanga wanafanya mambo yao naiona kesho ya Yanga ni kubwa kuliko SIMBA
  1. Wameandika katiba ambayo wanaishi nayo sasa. Eng. Hersi ataipeleka Yanga mbali
  2. Wanasajili wanachama online which is a good thing....upande wa SImba mambo mengi yako kimya kimya hakuna uwazi.
  3. Camp ya Yanga iko serious na kisiri sana compared na Simba kila mechi ya kirafiki inaonekana in which mapungufu ya TIMU kila mtu anayaona(hii inaleta maneno sana). Training Camp ya SImba ipo open yeyeote anafika na anawaona wanavyofanya mazoezi. Yanga sometime ni closed door.
  4. Wanaajiri professional kitu ambacho kitawavusha
  5. Uswahili hauwezi kuisha lakini naona Yanga kama uswahili unapungua
  6. Yanga watakuja kujenga Uwanja mapema ya SImba kwa sbb ya transformation wanayoenda nayo
  7. Simba kuendelea kugambo na Mgunda tu peke yake itatucost huko mbeleni kwenye mechi za kiume.
  8. Simba mafather wengi sana na huwezi kuwaondoa kwa sbb mfumo unawabeba mfano MKUDE amechoka, Onyango amechoka, Nyoni amechka, bocco amechoa. Sasa SImba ukimdhibiti Chama na PHIRI umeimaliza timu
  9. Jiulize kwa nini SImba hawaweki wazi mambo yao mfano Mkataba wa MO na SIMBA hauonekani
  10. Yanga pamoja na kuwasponsored na GSM lakini MIKATABA ya GSM vs YANGA inaonekana wazi
  11. Yanga kusajili wanachama online hii ni hatua kubwa mnooooo kama wanavyofanya huko duniani.
SIMBA AMKENI. SIKU MO AKIONDOKA TUTALIA NA KUSAGA MENO ni wakati sasa wa Viongozi wa SIMBA kuweka mazingira mazuri kati ya MO na SIMBA ili hata akiondoka abaki kama mwekezaji ambaye kuna written doc. SIMBA tengenezeni katiba mpya itayoipa simba Nguvu kwa wawekezaji na wanachama. Hii ndio sustainability inayohitajika na tupunguze uswahili.

NAWASILISHA.
Sikutegemea kama bado wapo Simba wenyekufahamu matatizo waliyonayo na kuyaelezea Hadharani Ili viongozi watambue na kuchukua hatua.

Hongera mshabiki/mwanachama wa mbumbumbu fc mwenyekijitambua.
Kuna jambo mmoja Mimi kama Yanga nafurahi libaki hivyo maana ndio Msingi wa shida zote zilizopo, Viongozi wenu wabaki hivyohivyo Ili tuzidi kuwapiga gepu nje na ndani ya uwanja.
 
Mpaka apo mshaachwa mbali sana, transformation yenu ni ya ujanjaujanja tu wala haileweki imekaaje na imefikia wapi, mambo yenu ni vululu vululu tu, mkiambiwa tajeni mnao wanachama wangapi mpaka sasa officialy amjui, mnatagemea kujenga uwanja kwa michango ya wanachama ni kichekesho kingine, wamechanga mmeishia kujenga fensi na yenyewe aijakamilika, wenzenu wana mipango kabambe wakianza wameanza ni mwanzo mwisho ,transformation ya wenzenu inaonekana inavyoenda kwa vitendo na uwazi akuna longo longo mkija kushtuka mtakuwa mnatandikana makofi pale msimbazi
 
1. Kama ni timu inafanya mambo kwa confidentiality ya hali ya juu basi ni Simba. Mzungu mpaka anaondoka hakuna aliyekuwa na tetesi. Na hata sasa hakuna anayejua kisa hasa ni kipi hadi ameondoka.
2. Kuhusu michezo kuonekana haina madhara yoyote maana inafanyika kwa ajili ya kuwaandaa na kuwajengea kujiamini wachezaji wasiocheza mara kwa mara.
3. Kuhusu hao uliowataja kuwa umri umeenda unaweza kutuambia ni yupi mchezaji anayeingia moja kwa moja kikosi cha kwanza msimu huu?
4. Kuhusu kocha Mgunda, unafahamu kuwa Mgunda Ameshinda mechi sawa na Nabi kimataifa? Hesabu kuanzia Nabi ameanza kazi ya ukocha.
5. Ni mkataba upi wa GSM unaosema umefanyika kwa uwazi? Mikataba yote hiyo si imetajwa tu kwa mdomo bila kuonekana popote?
6. Kusajili wanachama online kisha wasiwe wanalipia ina tofauti gani na kupata wafuasi wengi kwenye kampeni ila upate kura kiduchu?
7. Yote uliyolinganisha ni upumbavu mtupu maana kila Klabu ina njia zake za kufikia mafanikio na mpaka sasa njia za Simba ndio zimeonekana bora zaidi.
 
6. Kusajili wanachama online kisha wasiwe wanalipia ina tofauti gani na kupata wafuasi wengi kwenye kampeni ila upate kura kiduchu?
Hivi unafahamu usajiri wa sasa wa wanachama wa Yanga unafanyikaje na ada zinalipwa vipi?
Unajua usajiri wa shabiki wa Yanga upoje na malipo yake kama yapo yata/yanafanyikaje?
 
Yanga ipi ambayo mambo yake yako wazi ?

Yanga hii ambayo m/kiti wa klabu ndiye mkurugenzi wa kampuni linalotarajiwa kuwa mwekezaji wa kilabu ?

Nani kakwambia mikataba ya Yanga iko wazi ? Ebu iweke humu kila mtu aisome ndipo tujue ni kweli iko wazi. Usipoiweka humu tukaisoma hiyo mikataba tutaendelea kusema tu kwamba mikataba yao ni siri kama ilivyo kwa simba na timu nyingine.

We unafikiri Msolla alipenda kuachia hiyo nafasi ya uenyekiti?

Kwakifupi Yanga ni mali ya GSM . We unaeendelea kubwabwaja eti Yanga ni timu ya wananchi ,endelea kubwabwaja.
 
Simba wana title caf,huko nyinyi Uto amuwezi kuweka heshima hata mkiroga.
 
Hivi unafahamu usajiri wa sasa wa wanachama wa Yanga unafanyikaje na ada zinalipwa vipi?
Unajua usajiri wa shabiki wa Yanga upoje na malipo yake kama yapo yata/yanafanyikaje?
Sasa unauliza maswali ama unatoa ufafanuzi? Ina maana ada inalipiwa mara moja kwa maisha? Akili mtu wangu.
 
1. Kama ni timu inafanya mambo kwa confidentiality ya hali ya juu basi ni Simba. Mzungu mpaka anaondoka hakuna aliyekuwa na tetesi. Na hata sasa hakuna anayejua kisa hasa ni kipi hadi ameondoka.
2. Kuhusu michezo kuonekana haina madhara yoyote maana inafanyika kwa ajili ya kuwaandaa na kuwajengea kujiamini wachezaji wasiocheza mara kwa mara.
3. Kuhusu hao uliowataja kuwa umri umeenda unaweza kutuambia ni yupi mchezaji anayeingia moja kwa moja kikosi cha kwanza msimu huu?
4. Kuhusu kocha Mgunda, unafahamu kuwa Mgunda Ameshinda mechi sawa na Nabi kimataifa? Hesabu kuanzia Nabi ameanza kazi ya ukocha.
5. Ni mkataba upi wa GSM unaosema umefanyika kwa uwazi? Mikataba yote hiyo si imetajwa tu kwa mdomo bila kuonekana popote?
6. Kusajili wanachama online kisha wasiwe wanalipia ina tofauti gani na kupata wafuasi wengi kwenye kampeni ila upate kura kiduchu?
7. Yote uliyolinganisha ni upumbavu mtupu maana kila Klabu ina njia zake za kufikia mafanikio na mpaka sasa njia za Simba ndio zimeonekana bora zaidi.
Nafkili umemjibu vizur sana

Labda ungemkumbusha tu kuwa waache tabia ya kupita mlango usio rasmi kwenye mechi na Simba
 
Mtoa post umeongea fact Sana.......makolo wote mgekua hiv....mgefika mbali
 
1. Kama ni timu inafanya mambo kwa confidentiality ya hali ya juu basi ni Simba. Mzungu mpaka anaondoka hakuna aliyekuwa na tetesi. Na hata sasa hakuna anayejua kisa hasa ni kipi hadi ameondoka.
2. Kuhusu michezo kuonekana haina madhara yoyote maana inafanyika kwa ajili ya kuwaandaa na kuwajengea kujiamini wachezaji wasiocheza mara kwa mara.
3. Kuhusu hao uliowataja kuwa umri umeenda unaweza kutuambia ni yupi mchezaji anayeingia moja kwa moja kikosi cha kwanza msimu huu?
4. Kuhusu kocha Mgunda, unafahamu kuwa Mgunda Ameshinda mechi sawa na Nabi kimataifa? Hesabu kuanzia Nabi ameanza kazi ya ukocha.
5. Ni mkataba upi wa GSM unaosema umefanyika kwa uwazi? Mikataba yote hiyo si imetajwa tu kwa mdomo bila kuonekana popote?
6. Kusajili wanachama online kisha wasiwe wanalipia ina tofauti gani na kupata wafuasi wengi kwenye kampeni ila upate kura kiduchu?
7. Yote uliyolinganisha ni upumbavu mtupu maana kila Klabu ina njia zake za kufikia mafanikio na mpaka sasa njia za Simba ndio zimeonekana bora zaidi.
Una uelewa mdogo sana
 
Back
Top Bottom