Namna Yanga wanafanya vitu vingi watatuacha sisi Simba

Mtoa mada popote ulipo agiza konyagi bapa nakuja kulipa.. umeongea point tupu kanjibai fc hawawezi kukuelewa
 
Yanga ina kina kabwili simba haina kweli yanga wametuacha mbali sasa tunakuchagua ww shabiki wa simba kindaki ndaki umuwakilishe kabwili ili tule nao sahani moja
 
upo sahihi
 
Yanga ina kina kabwili simba haina kweli yanga wametuacha mbali sasa tunakuchagua ww shabiki wa simba kindaki ndaki umuwakilishe kabwili ili tule nao sahani moja
Simba ni wa asisi wa shughuli hizi
 
Usajiri ndio nn we nguchiro????
Hivi unafahamu usajiri wa sasa wa wanachama wa Yanga unafanyikaje na ada zinalipwa vipi?
Unajua usajiri wa shabiki wa Yanga upoje na malipo yake kama yapo yata/yanafanyikaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…