chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
mtaje wakulungwa wakusaidieKwema wakuu,
Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.
age is just a numberKitu ambacho hujui, unaweza sema ni binti mrembo, kumbe age yake kwa Sasa inasoma 52 +,
[emoji23][emoji23]Pole sana, Muombe na Mungu wako aingilie kati.
Yani nilitaka kumjibu hivi😀Mtaje tuu mkuu
Tumshawishi wifi, ili muwahi kupeleka watoto shule.
ephen_ ni kweli shemu?Kama ni ephen achana nae tu maana nishatoa mahari kwao. Nakutahadharisha mapema.
namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.
Soma vizuri, Alichoandika mtoa mada 👆age is just a number