Being_neutral
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 376
- 727
Hilo ni swali au unaniambia?🤣🤣Mbona mimi sina jimbo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni swali au unaniambia?🤣🤣Mbona mimi sina jimbo?
😂😂 Ni ushauri tuu😂 wivu tu huo
Kwa hiyo utaenda kwa Papa ndoa ibarikiwe?Nina ndoa yangu yenye furaha 😂😂 sihitaji ndoa nyengine
Kwann?Kweli humu watu wana id mbilimbili
Tulienda kwa shekheee 🤗🤗Kwa hiyo utaenda kwa Papa ndoa ibarikiwe?
Hamna.Kwann?
Sasa utamzaliaje huyo mmeo au uta..😂😂Tulienda kwa shekheee 🤗🤗
Usiwe muoga mchaneHamna.
Unataka kuoa mke wa mtu? Jiangalie sana huko back.Kwema wakuu,
Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.
Huo sio ushauri mzuri😂😂 Ni ushauri tuu
Nimeongea tu lakini haimaanishi kua yeye ana id mbili Being_neutralUsiwe muoga mchane
Kuna maandishi ukiyaona unaweza ku-anticipate huyu atakua mtu wa rika gn?Kwanini chipukizi 😂😂😂
HahahahahahaAtakuwa Faizafox
Thibitisha!!Kweli humu watu wana id mbilimbili
Huyu amenimention id ndo kwanza naiona leo, ingekua ni member mpya kweli, asingenitaja.Thibitisha!!
HahahahahaUwe na Uhakika ni Mwanamke kwanza...
Usije kujichanganya