Being_neutral
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 376
- 727
Umeshtuka madam, mm nilikujua kwenye uzi wako wa kwenda jeshini,Nimeongea tu lakini haimaanishi kua yeye ana id mbili Being_neutral
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshtuka madam, mm nilikujua kwenye uzi wako wa kwenda jeshini,Nimeongea tu lakini haimaanishi kua yeye ana id mbili Being_neutral
Kwa hiyo research yako kwa mtu mmoja imethibitisha kuwa wote tuna mbilimbili?Huyu amenimention id ndo kwanza naiona leo, ingekua ni member mpya kweli, asingenitaja.
Hapo nimekosea kusema hivyo..Kwa hiyo research yako kwa mtu mmoja imethibitisha kuwa wote tuna mbilimbili?
Acheni mwenzetu apambanie utam jamani, sio wote wanaaibisha. Wakipata wanakaa kimya, wanakula kimya, wananawa kimya na kumtukuza Mungu.We dada usikubali mwaya atakuja kuleta thread ya kukuaibisha humu
Futa kauli yako...Hapo nimekosea kusema hivyo..
Sijawahi kudhibitisha.
Being_neutral nisamehe kwa kukupa shutma ya kua na id mbili.Futa kauli yako...
Hivi kumbe ulikuwa unashutumu mm?🤣🤣Being_neutral nisamehe kwa kukupa shutma ya kua na id mbili.
..na sisi wengine ambao umetushutumu!!🤪Being_neutral nisamehe kwa kukupa shutma ya kua na id mbili.
Mmmh. Mbn unanitisha nisije kukusalimia RafikiWe dada usikubali mwaya atakuja kuleta thread ya kukuaibisha humu
Kwa ambao hamna id mbili pia mnisamehe..na sisi wengine ambao umetushutumu!!🤪
Nilikushutumu kiainaHivi kumbe ulikuwa unashutumu mm?🤣🤣
Kwa jinsi mnaturushia mawe mnatufanya tuwaogope sanaMmmh. Mbn unanitisha nisije kukusalimia Rafiki
Wala hata uswaze niliamua kuchangamsha tu, sijawah jua id hii yako mpaka uzi wa jeshini,Nilikushutumu kiaina
Mhhh at her own riskAcheni mwenzetu apambanie utam jamani, sio wote wanaaibisha. Wakipata wanakaa kimya, wanakula kimya, wananawa kimya na kumtukuza Mungu.
Tunaijua hiyo Shem Bae[emoji2]Kuna kamoja hako ningekuwa na nephew hakika ningempasia apambanie kombe. Kupata vitu vizuri namna hii ni bahati wala sio ujanja.
What if this ujumbe is for ya'though?We dada usikubali mwaya atakuja kuleta thread ya kukuaibisha humu
Siwezi kuwa mimi 🤣🤣🤣🤣 niacheWhat if this ujumbe is for ya'though?
Usipige teke mume toka JF,pack up your stuff and head to your future husband ASAP.🤣