Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahahaha mimi siko hivyo hata siku moja...dah huo utoto, ujinga, ushamba sina na siwezi kuwa nao hata iwejeKwa jinsi mnaturushia mawe mnatufanya tuwaogope sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha mimi siko hivyo hata siku moja...dah huo utoto, ujinga, ushamba sina na siwezi kuwa nao hata iwejeKwa jinsi mnaturushia mawe mnatufanya tuwaogope sana
HahahahahaSiwezi kuwa mimi 🤣🤣🤣🤣 niache
Ngoja BICHWA KOMWE - akupe muongozoKwema wakuu,
Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.
Utajwe wewe sasa tuone inakuaje..Mtaje tukusaidie kusoundisha hapahapa
Amenyamanza makusudi jamaa hajiongezi🤣🤣Kitu ambacho hujui, unaweza sema ni binti mrembo, kumbe age yake kwa Sasa inasoma 52 +,
Kabisa.Dada kaza hivyo hivyo ukimkubalia tuu mkija kuachana uwe na uhakika wa kuja kuanikwa humu mpaka alama uliyo nayo mwilini mwako Jf woote tutaijuaa
Shikilia hapo hapo Dadaaa..
Mhh humu hamna bahati ni majanga matupuJibu PM
Bahati haiko mara 2.
Akikutaja namgeuza mjusi😀😀Pole sana, Muombe na Mungu wako aingilie kati.
Dah..aisee kumbe hata nikija kusalimia nitakuta kufuli la Mult Lock mlangoniMhh humu hamna bahati ni majanga matupu
Unashangaa kesho unakuta thread ya kidada chenyewe kifupi kinene cheusi na anaomba pesa sana a.k.a kausha damu.We dada usikubali mwaya atakuja kuleta thread ya kukuaibisha humu
Si mnasema JF ladies ndio hao wa mataani..!Mhh humu hamna bahati ni majanga matupu
Sthandwa sami😋Unashangaa kesho unakuta thread ya kidada chenyewe kifupi kinene cheusi na anaomba pesa sana a.k.a kausha damu.
Wanaume wachache sana wanaojielewa humu
Hupaswi kutugombeza wote kiasi hichi unatukosea sisi wazee humuUnashangaa kesho unakuta thread ya kidada chenyewe kifupi kinene cheusi na anaomba pesa sana a.k.a kausha damu.
Wanaume wachache sana wanaojielewa humu
Bora tukutane mtaani kuliko humuSi mnasema JF ladies ndio hao wa mataani..!
vipi JF vidumez ?wako Jupiter or mars?
🤣
Ndio hao mko nao hapo kwa maofisi,church,mtaani n.k
Natafuta Ajira hahahaUnashangaa kesho unakuta thread ya kidada chenyewe kifupi kinene cheusi na anaomba pesa sana a.k.a kausha damu.
Wanaume wachache sana wanaojielewa humu