Yaaap hapo kwenye kupania ndio haswaa,maana Kwa normal circumstances sio kweli🤣🤣🤣🤣 ..! Joannah usijaribu ukajichanganya kwa hao njemba. Hasa nafikiri AWE AMEJIANDAA,AMEKUPANGILIA. Mtu alijichanganya,akatema mapato yote, nafikiri kulikuwa na sababu fulani kabla. Jamaa ni kama lilimpania
Nafikiri kulikuwa na maandalizi,jamaa lilijiandaa lilipania. Japo ndio kuna kuongeza kachumvi kidogo kunogesha ile kibongo bongoYaaap hapo kwenye kupania ndio haswaa,maana Kwa normal circumstances sio kweli
🤣🤣🤣Wabongo Tena Kwa samjoNafikiri kulikuwa na maandalizi,jamaa lilijiandaa lilipania. Japo ndio kuna kuongeza kachumvi kidogo kunogesha ile kibongo bongo
Ndo nishapenda sasaKabisaaa,umepauka zako,ushashiba zako mihogo ya babu sele,unaweka pale picha ya Beyonce halafu napiga story za vanguard yangu Mtu kaichubua kwenye foleni nilivyokuwa naelekea dinner whitesands,..basi lazima Kuna boya atajaa anaanza kumpenda yule Beyonce 🤣🤣🤣🤣🤣kumbe orxy ya kati.
Huyu bado hajawa mshangaziUmejuaje kama ni dada? Waweza kuta ni lishangazi we unaita dada!
Mimi ni mtu ambaye sifirisiki mkuu pesa ni nyingi mno na ni za vizazi na vizazi.Utakuwa kama yule mzungu anafosi kupendwa mzee tafuta chaka lako atakutesa na atakufilisi haya mambo hayaendi hivyo [emoji16]
Amini mkuu Kuna watu ambao pesa kwetu ni kitu kidogoMnaji-commit wenyewe kwamba hela sio shida kwenu alafu mkipata vijambazi mnarudi tena mkiwa mmescreenshot message za vizinga huku mkilalamika, Sasahivi tunawapiga vidole.
Acha roho mbaya mkuuDada kaza hivyo hivyo ukimkubalia tuu mkija kuachana uwe na uhakika wa kuja kuanikwa humu mpaka alama uliyo nayo mwilini mwako Jf woote tutaijuaa
Shikilia hapo hapo Dadaaa..
Siwezi fanya mambo hayoYaani wamebaki wachache sana wanajielewa
Unakuta thread kakuchambua kiima na kiarifu kwa kutumia I'd nyingine