Najipanga nimuambie, ila nataka nikutane nae live, maana tangia tumemwagana sijawahi kuonana nae live. Ila inaonekana ametendwa tendwa sana, huwa naonaga status zake whatsapp. Nina hakika, hilo tatizo likiisha, hamalizi mwaka keshaolewa.Daah! Wanaume mna moyo!!! Sehemu inanuka uvundo bado unagegeda tu na kuenjoy juu [emoji3][emoji3][emoji3]
Mi nadhani kwa upendo tu ungemkalisha uongee nae. Atakuchukia ndio ila ujumbe umefika na ushamsaidia. Au mwandikie msg nini afanye harufu itoke... Kama kunywa sana juice ya nanasi na kunywa mtindi...
Uo ni ugonjwa so kama u didn't use a condom its better ukapimeeeeeHabarini wadau,
Mimi ni mwanamume mwenye mke na watoto. Kipindi fulani hapo nyuma nilikutana na binti mmoja hakika alikuwa ni mrembo kupita wastani. Nilivutiwa nae sana na nikaamua kum approach ili ikiwezekana basi awe mchepuko. Alinipa shida kidogo lakini mwisho wa siku nilifanikiwa kumnasa.
Siku moja tukakubaliana kukutana faragha kwa ajili ya mchezo maalum, kweli binti yule alikuwa ameumbika mnoo. Tatizo lilikuja pale nilipopeleka mkono kwa bibi, kweli nilisikia harufu kali mnoo niliposogeza mkono puani. Nikaamua nisiendeleze mbwembwe nyingi za kyzama chumvini, nikaanza ku gegeda, kweli jamani kuna harufu ya uvundo ilikuwa inatoka kutoka kwa bibi harufu ambayo sijawahi kuisikia ktk kugegeda kwangu kote tangia nimeanza huu mchezo.
Nakiri, kwa upande wa ku sex huyu binti alikuwa anaweza mnoo. Kweli niliamua kuvumilia kwa kipindi, nikawa napata shida ni namna gani naweza kumueleza kitu kama hicho. Ikafika kipindi, nikawa namshawishi kabla ya kusex tukaoge, halafu najifanya kumuogesha huku nia ikiwa nimsafishe sana k yake, lakini cha kushangaza ilikuwa tukianza tuu kugegedana, ile harufu inatoma kama uvundo, halafu niliko kuna baridi na alikuwa anapenda tugegedane tukiwa tumejifunika blanket, basi akifanya hivyo ndo harufu yote naisikia.
Kweli, urembo wa huyu dada ulinifanya nimvumilie kwakuwa hata washkaji walikuwa wananipnea wivu mnoo ati mcheps wangu ni mkare kinyama.
Lakini kwakweli, ilifika wakati uvumilivu ulinishinda, kweli nikaamua nijitoe kwenye huu uhusiano, maana ile hali ilikuwa inanipa shida, yaani ilikuwa nikikojoa tuu nakimbilia bafuni kunawa kuondoa harufu.
Lakini kweli nakiri nilimuacha yule binti ilhali nikiwa bado nampenda, na alikuja kuingia kwenye mahusiano mengine mawili ambayo yote yalivunjika ndani ya muda mfupi. Tumekuwa tukiwasiliana, najua kwa uzuri wake na tabia yake, kinachomfanya watu wamuache ni hiyo harufu.
Sijui nifanyeje, natamani nimrudie, ila itabidi nihaki, ishe tatizo la harufu linaisha kwanza. Nao beni ushauri.
Kwani akiwa na kucha inahusiana vp na kunuka k?Mkuu....umepita mulemuleeee....demu akiwa na kucha hata awe mzuri vip ndio simtaki hata anilipe pesa.
niliwahi kuwa na mchepuko mkali balaa...ila harufu ilinishinda nikasanda gemu.
Kweli msaidie tuNajipanga nimuambie, ila nataka nikutane nae live, maana tangia tumemwagana sijawahi kuonana nae live. Ila inaonekana ametendwa tendwa sana, huwa naonaga status zake whatsapp. Nina hakika, hilo tatizo likiisha, hamalizi mwaka keshaolewa.
Hapa naona umekosea, si umwambie atulie na mke wake.Daah! Wanaume mna moyo!!! Sehemu inanuka uvundo bado unagegeda tu na kuenjoy juu [emoji3][emoji3][emoji3]
Mi nadhani kwa upendo tu ungemkalisha uongee nae. Atakuchukia ndio ila ujumbe umefika na ushamsaidia. Au mwandikie msg nini afanye harufu itoke... Kama kunywa sana juice ya nanasi na kunywa mtindi...
Mwambie Mkuu labda ana ugonjwa.
Acha kujiendekeza sio lazima kuwa na mchepukoMkuu acha kujitoa ufahamu, inamaana hujui ni ngumu kiasi gani kutokuwa na mchepuko?
I can tell 70% jamaa atakuwa na magonjwa tayari mana mwanamke kununa ukwni mostly huwa ni gonomtakuja muwaletee wake zenu magonjwa bure
Huyu hajielewi mkuuChanzo cha migogoro ni nini?? Na wewe kama kichwa cha familia unafanyaje kuitatua?? unadhani kuchepuka ndio njia sahihi?[emoji115][emoji115][emoji115]
Si wepesi kusema wamechoka acha tu tupooze machungu tu kwa michepuko.mtakuja muwaletee wake zenu magonjwa bure
Kuna siku nilikuwa nachat nae, basi nikamuambia kuna tatizo nitakutafuta tushirikiane kulitatua, ila nikamuomba asiniulize ni nini. Kweli hakuniuliza, akasema sawa. Ugumu unakuja, naanzaje kumuambia tutatue tatizo la kunuka k yako. Nimejikuta nimepiga kimya, nayeye hajawahi kuniuliza tena.
Endelea nae tu mbona kawaida hiyo..!
Kibaiolojia karibu wanawake wote huwa wananuka K.
Kwa hiyo kitendo cha wewe kumkataa kisa ananuka K, ni sawa na kuukata uanamke wake.
Amsaifie kwanza dada wa watuHapa naona umekosea, si umwambie atulie na mke wake.