Nampenda bado, lakini anatoa harufu sehemu za siri

Nampenda bado, lakini anatoa harufu sehemu za siri

Daah! Wanaume mna moyo!!! Sehemu inanuka uvundo bado unagegeda tu na kuenjoy juu [emoji3][emoji3][emoji3]

Mi nadhani kwa upendo tu ungemkalisha uongee nae. Atakuchukia ndio ila ujumbe umefika na ushamsaidia. Au mwandikie msg nini afanye harufu itoke... Kama kunywa sana juice ya nanasi na kunywa mtindi...
Najipanga nimuambie, ila nataka nikutane nae live, maana tangia tumemwagana sijawahi kuonana nae live. Ila inaonekana ametendwa tendwa sana, huwa naonaga status zake whatsapp. Nina hakika, hilo tatizo likiisha, hamalizi mwaka keshaolewa.
 
Inawezekana ni fungus (candidiasis),halafu aache vaginal douching. Mshauri aende kwa daktari wa magonjwa ya wanawake.
 
Habarini wadau,
Mimi ni mwanamume mwenye mke na watoto. Kipindi fulani hapo nyuma nilikutana na binti mmoja hakika alikuwa ni mrembo kupita wastani. Nilivutiwa nae sana na nikaamua kum approach ili ikiwezekana basi awe mchepuko. Alinipa shida kidogo lakini mwisho wa siku nilifanikiwa kumnasa.

Siku moja tukakubaliana kukutana faragha kwa ajili ya mchezo maalum, kweli binti yule alikuwa ameumbika mnoo. Tatizo lilikuja pale nilipopeleka mkono kwa bibi, kweli nilisikia harufu kali mnoo niliposogeza mkono puani. Nikaamua nisiendeleze mbwembwe nyingi za kyzama chumvini, nikaanza ku gegeda, kweli jamani kuna harufu ya uvundo ilikuwa inatoka kutoka kwa bibi harufu ambayo sijawahi kuisikia ktk kugegeda kwangu kote tangia nimeanza huu mchezo.

Nakiri, kwa upande wa ku sex huyu binti alikuwa anaweza mnoo. Kweli niliamua kuvumilia kwa kipindi, nikawa napata shida ni namna gani naweza kumueleza kitu kama hicho. Ikafika kipindi, nikawa namshawishi kabla ya kusex tukaoge, halafu najifanya kumuogesha huku nia ikiwa nimsafishe sana k yake, lakini cha kushangaza ilikuwa tukianza tuu kugegedana, ile harufu inatoma kama uvundo, halafu niliko kuna baridi na alikuwa anapenda tugegedane tukiwa tumejifunika blanket, basi akifanya hivyo ndo harufu yote naisikia.
Kweli, urembo wa huyu dada ulinifanya nimvumilie kwakuwa hata washkaji walikuwa wananipnea wivu mnoo ati mcheps wangu ni mkare kinyama.

Lakini kwakweli, ilifika wakati uvumilivu ulinishinda, kweli nikaamua nijitoe kwenye huu uhusiano, maana ile hali ilikuwa inanipa shida, yaani ilikuwa nikikojoa tuu nakimbilia bafuni kunawa kuondoa harufu.
Lakini kweli nakiri nilimuacha yule binti ilhali nikiwa bado nampenda, na alikuja kuingia kwenye mahusiano mengine mawili ambayo yote yalivunjika ndani ya muda mfupi. Tumekuwa tukiwasiliana, najua kwa uzuri wake na tabia yake, kinachomfanya watu wamuache ni hiyo harufu.
Sijui nifanyeje, natamani nimrudie, ila itabidi nihaki, ishe tatizo la harufu linaisha kwanza. Nao beni ushauri.
Uo ni ugonjwa so kama u didn't use a condom its better ukapimeeeee
 
Mkuu....umepita mulemuleeee....demu akiwa na kucha hata awe mzuri vip ndio simtaki hata anilipe pesa.
niliwahi kuwa na mchepuko mkali balaa...ila harufu ilinishinda nikasanda gemu.
Kwani akiwa na kucha inahusiana vp na kunuka k?
 
Najipanga nimuambie, ila nataka nikutane nae live, maana tangia tumemwagana sijawahi kuonana nae live. Ila inaonekana ametendwa tendwa sana, huwa naonaga status zake whatsapp. Nina hakika, hilo tatizo likiisha, hamalizi mwaka keshaolewa.
Kweli msaidie tu
 
Mkuu asikwambie mtu,kudumu na mwanamke anayenuka K inahitaji moyo wa ziada sana,halafu kumwambia kitu kama hicho ni vigumu sana..hata mimi ilinipata kama wewe hivo,ila kila nikikumbuka kile kijiharufu nakuwa simtaki kabisa.na ameshabreak up na relationship kama tatu hadi sasa,najua anaachwa kwa sababu hiyo tu na wala si kingine
 
Yaan wee cjui una matatizo gan! Mke unayo bado unahangaika na uvundo polee
 
Daah! Wanaume mna moyo!!! Sehemu inanuka uvundo bado unagegeda tu na kuenjoy juu [emoji3][emoji3][emoji3]

Mi nadhani kwa upendo tu ungemkalisha uongee nae. Atakuchukia ndio ila ujumbe umefika na ushamsaidia. Au mwandikie msg nini afanye harufu itoke... Kama kunywa sana juice ya nanasi na kunywa mtindi...
Hapa naona umekosea, si umwambie atulie na mke wake.
 
Muambie kwa utaratibu. Msifie wema wake, tabia njema na roho nzuri. Halafu muambie mamii kuna tatizo natamani tusaidiane tuhakikishe linamalizika. Muende kwa Dr wa kawaida tu atashauri baada ya kumuuliza maswali. Halafu hakikisha unamkumbusha na kumtia moyo.

Halafu umuache akishaacha kunuka. My fifty cents is, anajiswafi kwa kujiingiza vidole (douching) na hii inamsababisha anajipa bacterial infections Kila mara. Ila acha jibu likatoke kwa dr
Kuna siku nilikuwa nachat nae, basi nikamuambia kuna tatizo nitakutafuta tushirikiane kulitatua, ila nikamuomba asiniulize ni nini. Kweli hakuniuliza, akasema sawa. Ugumu unakuja, naanzaje kumuambia tutatue tatizo la kunuka k yako. Nimejikuta nimepiga kimya, nayeye hajawahi kuniuliza tena.
 
Weeh, hebu tutake radhi. Wanawake wananukia. No aroma Ile, sweet like brewed ground coffee[emoji4]
Endelea nae tu mbona kawaida hiyo..!

Kibaiolojia karibu wanawake wote huwa wananuka K.

Kwa hiyo kitendo cha wewe kumkataa kisa ananuka K, ni sawa na kuukata uanamke wake.
 
Mwambie anywe maji mengi pia , yanasaidia kuondoa harufu mwilini.discharges mf.Jasho na zile zinazotoka ukeni zinakuwa na harufu kali kwa mtu ambaye hanywi maji ya kutosha
 
Back
Top Bottom