Nampenda bado, lakini anatoa harufu sehemu za siri

Nampenda bado, lakini anatoa harufu sehemu za siri

ANGALIZO. ....namuelewa vizuri sana mleta mada maana nishakutana na mtu wa aina huyo...niligonga kimoja nikajipigia simu na kuaga nikamuacha guest mpaka leo sijarudi na namba nilifuta but she is a woman and a half....damn pretty and sexy too.
Ila huyo wangu mikucha mirefu ndio nikapata story wanawake wenye kucha wananuka papuchi so mpaka leo una mikucha mimi na wewe tuwe kaka na dada basiii.

Kuna uhusiano gani kunuka K na kuwa na mikucha mirefu? ?? Au hawajisafishi kwa kuogopa kujichubua na kucha, ,?halafu wanawake wazuri wote ndio wanuka uch.I me nafikiri na kutiwatiwa ovyo inachangia pia wakuu,,,wanawake wazuri huwa wanagongwa sana,,maana wanatongozwa mno na wanashindwa kuruka viunzi vya wanaume wakware
 
Si lazma umgonge tena msaidie kuondoa tatizo kisha endelea na maisha yako. Hayo matatizo kwa wanawake yapo. N pm tuongee zaidi.
 
Habarini wadau,
Mimi ni mwanamume mwenye mke na watoto. Kipindi fulani hapo nyuma nilikutana na binti mmoja hakika alikuwa ni mrembo kupita wastani. Nilivutiwa nae sana na nikaamua kum approach ili ikiwezekana basi awe mchepuko. Alinipa shida kidogo lakini mwisho wa siku nilifanikiwa kumnasa.

Siku moja tukakubaliana kukutana faragha kwa ajili ya mchezo maalum, kweli binti yule alikuwa ameumbika mnoo. Tatizo
Sijui nifanyeje, natamani nimrudie, ila itabidi nihaki, ishe tatizo la harufu linaisha kwanza. Nao beni ushauri.
acha ushamba. kama mchepuko uache. mwenzio nilishawahi kuwa na mchepuko huo, ni mdada mweupe mzuri kama mhindi, alikuwa mchaga...wakati tunafanya nikaona mdudu wangu yote anatoa maji meupe, nikajua ni ile maji mdada akisuguliwa sana anatoa, kuja kugundua baadaye, alikuwa na fungus sugu amejaribu dawa zote zimedunda na zimeenda hadi kwenye figo, ajabu yake, nilikuwa naingia na chumvini jinsi dada mwenyewe alivyo mzuri.
 
Habarini wadau,
Mimi ni mwanamume mwenye mke na watoto. Kipindi fulani hapo nyuma nilikutana na binti mmoja hakika alikuwa ni mrembo kupita wastani. Nilivutiwa nae sana na nikaamua kum approach ili ikiwezekana basi awe mchepuko. Alinipa shida kidogo lakini mwisho wa siku nilifanikiwa kumnasa.

Siku moja tukakubaliana kukutana faragha kwa ajili ya mchezo maalum, kweli binti yule alikuwa ameumbika mnoo. Tatizo lilikuja pale nilipopeleka mkono kwa bibi, kweli nilisikia harufu kali mnoo niliposogeza mkono puani. Nikaamua nisiendeleze mbwembwe nyingi za kyzama chumvini, nikaanza ku gegeda, kweli jamani kuna harufu ya uvundo ilikuwa inatoka kutoka kwa bibi harufu ambayo sijawahi kuisikia ktk kugegeda kwangu kote tangia nimeanza huu mchezo.

Nakiri, kwa upande wa ku sex huyu binti alikuwa anaweza mnoo. Kweli niliamua kuvumilia kwa kipindi, nikawa napata shida ni namna gani naweza kumueleza kitu kama hicho. Ikafika kipindi, nikawa namshawishi kabla ya kusex tukaoge, halafu najifanya kumuogesha huku nia ikiwa nimsafishe sana k yake, lakini cha kushangaza ilikuwa tukianza tuu kugegedana, ile harufu inatoma kama uvundo, halafu niliko kuna baridi na alikuwa anapenda tugegedane tukiwa tumejifunika blanket, basi akifanya hivyo ndo harufu yote naisikia.
Kweli, urembo wa huyu dada ulinifanya nimvumilie kwakuwa hata washkaji walikuwa wananipnea wivu mnoo ati mcheps wangu ni mkare kinyama.

Lakini kwakweli, ilifika wakati uvumilivu ulinishinda, kweli nikaamua nijitoe kwenye huu uhusiano, maana ile hali ilikuwa inanipa shida, yaani ilikuwa nikikojoa tuu nakimbilia bafuni kunawa kuondoa harufu.
Lakini kweli nakiri nilimuacha yule binti ilhali nikiwa bado nampenda, na alikuja kuingia kwenye mahusiano mengine mawili ambayo yote yalivunjika ndani ya muda mfupi. Tumekuwa tukiwasiliana, najua kwa uzuri wake na tabia yake, kinachomfanya watu wamuache ni hiyo harufu.
Sijui nifanyeje, natamani nimrudie, ila itabidi nihaki, ishe tatizo la harufu linaisha kwanza. Nao beni ushauri.
Endelea na mkeo
 
Nilishawahi kuishi kwenye nyumba flani hiv ya kupanga baade kdogo kuna jamaa ambaye alikuwa mpangaji mwenzangu alioa Shori mmoja mkali hatari... Kilichotokea ni kwamba yule Dada akiingia bafuni kuoga harufu atakayoiacha huko bafuni haielezeki,namshukur Mungu baade jamaa alimuuguza na akawa poa na hata akiingia bafuni harufu haisikiki so,nakushaur umpeleke kwa Wataalam wa magonjwa ya akinamama na atakuwa vzur na hata akiolewa bado utakuwa umeacha kumbukumbu kwenye maisha yake na kamwe usilikimbie tatzo
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mkuu....umepita mulemuleeee....demu akiwa na kucha hata awe mzuri vip ndio simtaki hata anilipe pesa.
niliwahi kuwa na mchepuko mkali balaa...ila harufu ilinishinda nikasanda gemu.
Hiyo harufu wenyewe hawaihisi?
 
Uko sahihi kabisa, ila ninahofia nitamuingiaje. Nahofu atajisikia vibaya mnoo na possibly self esteem yake itakuwa seriously affected.
Unahis yeye hajui kama anatoa harufu?
 
Ana magonjwa ya zinaa.Hima mpeleke zahanati iliyo karibu na wewe apate tiba.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Dah hilo ni Janga usiombe ukutane nalo
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mshauri akazane kula mananasi na maziwa mtindi husaidia kupunguza harufu ya papuchi
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kuna uhusiano gani kunuka K na kuwa na mikucha mirefu? ?? Au hawajisafishi kwa kuogopa kujichubua na kucha, ,?halafu wanawake wazuri wote ndio wanuka uch.I me nafikiri na kutiwatiwa ovyo inachangia pia wakuu,,,wanawake wazuri huwa wanagongwa sana,,maana wanatongozwa mno na wanashindwa kuruka viunzi vya wanaume wakware

Hapo kwenye red una ushahidi wa kisayansi?Bas tungekua tunapata report za wanawake wanaojiuza kunuka sana.

Kwenye blue sababu kubwa ni hiyo
 
Back
Top Bottom