we ni baharia au mvuvi?Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Sasa hivi likizo mkuu,shule zimefungwa.Vitoto vya JF vimeanza kuzuka
Ahaaa bado wa chuo sasaSasa hivi likizo mkuu,shule zimefungwa.
Ndiyo maana nimeona visendo manyoya mtaaniLikizo ya mwisho wa mwaka
Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Kwamba waliojenga pekee ndo wanaruhusiwa kut----mbMpangaji kampenda mpangaji mwenzie! Masikini juuu ya umasikini! Pole sana
Wew mpaka apo umelifanyia nini taifa usikute mwaka wa 3 watembeza vyeti tu kuomba kaziAina hii ya vijana wanamchango mdogo sana katika Taifa.
Kwamba ccm itaondoshwa kwa watu watakapoacha kut---mbnHakika CCM itaendelea kutawala milele...
Funguka mkuuwe ni baharia au mvuvi?
Hili ni jukwaa la mapenzi ukiona mada haikuhusu unapita tu Kama hujaona.Vitoto vya JF vimeanza kuzuka
Hahaha!hapana mkuu sitekwagi na aina hiyo ya wanawakeBinti wa chumba cha jirani😁😁😁
View attachment 2840138