Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Likizo hiyo naona haka kapo PRE form waniVitoto vya JF vimeanza kuzuka
Naiona babycare kwa mbaaali kabatini na hiko kishundu, acha tuone mambo ni mengi muda mchacheBinti wa chumba cha jirani😁😁😁
View attachment 2840138
Hapana mkuu! Lakini haya ni mambo ya kikubwa uyafanye ukiwa umejiandaa kiuchumi na kifikra!Kwamba waliojenga pekee ndo wanaruhusiwa kut----mb
Acha uboya nilijua tu watu tuko humu kitambo hii ni acc mpya tu baada ya kwanza kuunguaJoined 23 Nov 2023....baada ya kumaliza pepa la form four ndio uzi wake wa pili ,tunga nyingi tutasoma tu
JILIPUEWakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Mgeuze rafiki yakoWakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Na huyo jirani kisha mzimikia waif hapo, nae ana changamoto kama yako.Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Mpe mkeo heshima anayostahiliWakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.
Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Vipo likizo mkuuVitoto vya JF vimeanza kuzuka
Hahaha wewe akili yako bado ndogo sana, unaamini sana kufanikiwa kupitia vyeti Master. Nina zaidi ya miaka 10 vyeti vipo kabatini nilishasahau kama niliwahi kusoma.Wew mpaka apo umelifanyia nini taifa usikute mwaka wa 3 watembeza vyeti tu kuomba kazi