Nampenda binti wa chumba cha jirani

Nampenda binti wa chumba cha jirani

Peleka mada yako kwenye ule uzi pendwa wa rickboy kula tunda kimasihala
Kule kunwazinzi walio kubuhu watakupa mbinu za kivita na utashinda vita yako
 
Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.

Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
JILIPUE
 
Usijaribu utachomoa betri mkuu,kama unataka kweli Anza kumlainisha Kwa vizawadi aingie kingi mwenyewe lasivyo ukimtokea asipokuelewa jua wife anapata info.
 
Hapo mbn simple tu uyo una mlaa ata bila kumtongoza wewe anza na salam zile ndefu make sure anachekq cheka maliza wiki unampata
 
Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.

Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Mgeuze rafiki yako

Mimi nimemwelewa shemeji yangu ila kutokana na imani yetu hairuhusiwi kuwa naye kimahusiano ya kimapenzi ila nimeamua kumfanya rafiki yangu tu maana tunaelewana mno
 
Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.

Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Na huyo jirani kisha mzimikia waif hapo, nae ana changamoto kama yako.
 
Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi.

Au mfano akinichomolea itakuaje naombeni ushauri nife na tai shingoni au nijilipue kiunaume tu.
Mpe mkeo heshima anayostahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wew mpaka apo umelifanyia nini taifa usikute mwaka wa 3 watembeza vyeti tu kuomba kazi
Hahaha wewe akili yako bado ndogo sana, unaamini sana kufanikiwa kupitia vyeti Master. Nina zaidi ya miaka 10 vyeti vipo kabatini nilishasahau kama niliwahi kusoma.
 
Back
Top Bottom