- Thread starter
- #21
Huyu alikuwa mke wa Yahya Mohamed mtangazaji wa Star ambaye sasa yuko Azam TV,amezaa nae watoto 2 lakini waliachana kwa tabia zake za kutojiheshimu
dah,,kumbe braza yahaya alikua anapumzika pale dah..respect zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu alikuwa mke wa Yahya Mohamed mtangazaji wa Star ambaye sasa yuko Azam TV,amezaa nae watoto 2 lakini waliachana kwa tabia zake za kutojiheshimu
hahaa Matola bana....., si hadi awe active member ndo ataiona hiyo
Asante mkuu...wanikatisha tamaa lakin