Nampenda huyu memba

Hajbu comment zangu
Basi achana nae, ukiona hivyo hataki wala hapendi unavyomfungulia nyuzi mbalimbali. Kuna njia nyingi za kumfanya mwanamke akukubali humu, hem jaribu hizo. Hii ya kufungua nyuzi ni ujinga tu naona.
 
Basi achana nae, ukiona hivyo hataki wala hapendi unavyomfungulia nyuzi mbalimbali. Kuna njia nyingi za kumfanya mwanamke akukubali humu, hem jaribu hizo. Hii ya kufungua nyuzi ni ujinga tu naona.
Bs stomfungulia tena ntafungua id ya kuanza nae nlyonayo haipend
 
Na ananisugua kweli wala hujakosea mahi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na kazi anaiweza ohhh.!! Hata nguvu za kutype ss hivi sina anavyonisugua kuta zote za kei.!


Ww sasa mbona hujasema anayekusugua??
 
Jirani humu kuna washenga wanajua mpk anayenisugua 🀣🀣🀣🀣
Yaani hadi nimeogopaπŸ˜‚πŸ˜‚.. Usikute wanajua hadi siku tunazosuguliwa na hatujui
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hatariii
Unaweza kupewa kisugulio humu na usikijue kipi??
Unabaki tu unajishangaa au mimi sio mimiπŸ˜‚πŸ˜‚..
Vipi lakini unaendeleaje??
Habari ya siku nyingi?
 
anajuogopa kama kausha damu hahahaha
 
Unabaki tu unajishangaa au mimi sio mimiπŸ˜‚πŸ˜‚..
Vipi lakini unaendeleaje??
Habari ya siku nyingi?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Aje atutajie kwanza visugulio vyetu.!!
Niko pouwa jirani
 
Vizuri kama unaendelea vizuri, umemisika sana😘,.
Hadi I'd yake nimeisahau, akivitaja nitagπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huyo jamaa anazingua!! Alitumiss tuchangie huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…