Wewe ni Mwanaume au Mwanamke? Usije ikawa umeweka avatar ya kike kumbe unauza kisamvu upande wa PiliMwanaume kuwa mbea hivi hata hainogi wenzio wanatafuta maokoto we upo umbea umbea tu watakuoa na bora uolewe na mwanamke kuliko mwanaume mwenzio
Ndo biashara yako kumbe inayokuweka mjini sawa pambanaWewe ni Mwanaume au Mwanamke? Usije ikawa umeweka avatar ya kike kumbe unauza kisamvu upande wa Pili
Wanazitaja wenyewe kwamba HII na HII ni ID zangu wewe ulitakaje km HUJUI wewe ni wewe HUJUI SIO kila mtu unaepishana nae JF ni weweKuna watu wapo serious sana hapa JF aisee,
Yani mtu anajua ID za watu za zamani mpaka mpya!
😀 😀
Unauza kisamvu cha KOPO walume tuje kukinunua tutowekeze MATONGE kwenye HICHO kiKOPONdo biashara yako kumbe inayokuweka mjini sawa pambana
Poa na hongera sana kwa kuzijua hizo ID's zote,Wanazitaja wenyewe kwamba HII na HII ni ID zangu wewe ulitakaje km HUJUI wewe ni wewe HUJUI SIO kila mtu unaepishana nae JF ni wewe
SIO kuzijua wanataja wenyewe wewe km HUJUI ni wewe HUJUIPoa na hongera sana kwa kuzijua hizo ID's zote,
Keep it up.
Una taka kusema ni Gentamycin🤣🤣🤣Huyu itakua ni I'd maarufu tu humu kaona aje kivingne .
Nitauuwa mtu na kujipeleka polisi. ephen asiguswe na mtu.huyo ndio mboni yangu.Mrs Luka njoo utoe majibu apa kwa nini unamchunia mwamba?
Embu acha kuchafua First lady .huyo ni waridi wangu.Wewe mwamba unazingua
We fala huyo demu ephen ni mbaya kise-nge ni mweusiiiii umechanganyikiwa na I'd ku-ma wewe 😃😃😃😃
Ni nani?Achana nae huyo! Nishamjua ni nani
Nilikutajia jana!Ni nani?
Nitaua mtu mwaka huu kwa ajili yako na kujipeleka mwenyewe polisi.Mkuu sijaona jina langu kwenye uzi
Sio mimi
Usitutishe bhanaaa,kwenye siasa ututambie na kwenye mapenzi pia ututambie?Nitaua mtu mwaka huu kwa ajili yako na kujipeleka mwenyewe polisi.
Kwa ephen nitaua mtu ili iwe fundisho kwa wengine wenye kugusa wake za watu. Na nitasema nilikuwa na linda mali yangu zidi ya wezi.Usitutishe bhanaaa,kwenye siasa ututambie na kwenye mapenzi pia ututambie?
Haiwezekani,hakuna mwanamke wa peke yako siku hizi,ukiendekeza mapenzi unaweza kujikuta anakuhamisha na kukupeleka ACT au Chadema ama muachane,utachagua lipi hapo?
😀
🤣🤭Alianza To yeye kipindi anajiita Bees Mom akaja Lamomy akijiita CuteWife akaja Leejay49 watu wakawa wanapapatika sasa ni zamu ya ephen_ nae atapita akishampata wa kumuagizia BAGA wakaenda Movie kisha wakapiga SELFIE,
WHO IS NEXT? Maua Sama Komasava?
NB: HAO wote nimewataja hapo sasa wamepoa km UJI wa mgonjwa wameshapata visugulio vya JF sasa wametulia tuliii ukimuondoa Lamomy na Kapeace
Nani, Lucas Mwashambwa?Naipenda hii. ID lakini ananipuuzia nikilike nyuzi zake yeye alike zangu, kila siku namquote namtaja jukwaani lakini anijibu moyo unauma namuona na wengine anacheka nao anawajibu PM kafunga nilimuomba afungue hajajibu sijui nilimfanyaje id yake inaanza na e.... Nataka awe mpaka mama wa watoto wangu.
Hujawahi kukutana na muandiko wa Lara1 na Mzigua90. Unajikuta tu ushapenda muandiko kabla ya kumuona muhusika.Me nikiona mwanaume anachanganyikiwa na izi ID za kike uku JF huwa namuona kama mjinga tu. Kwanza utampendaje mtu usiemjua ?