Nampenda huyu memba

Nampenda huyu memba

Mwanaume kuwa mbea hivi hata hainogi wenzio wanatafuta maokoto we upo umbea umbea tu watakuoa na bora uolewe na mwanamke kuliko mwanaume mwenzio
Wewe ni Mwanaume au Mwanamke? Usije ikawa umeweka avatar ya kike kumbe unauza kisamvu upande wa Pili
 
Nitaua mtu mwaka huu kwa ajili yako na kujipeleka mwenyewe polisi.
Usitutishe bhanaaa,kwenye siasa ututambie na kwenye mapenzi pia ututambie?
Haiwezekani,hakuna mwanamke wa peke yako siku hizi,ukiendekeza mapenzi unaweza kujikuta anakuhamisha na kukupeleka ACT au Chadema ama muachane,utachagua lipi hapo?

😀
 
Usitutishe bhanaaa,kwenye siasa ututambie na kwenye mapenzi pia ututambie?
Haiwezekani,hakuna mwanamke wa peke yako siku hizi,ukiendekeza mapenzi unaweza kujikuta anakuhamisha na kukupeleka ACT au Chadema ama muachane,utachagua lipi hapo?

😀
Kwa ephen nitaua mtu ili iwe fundisho kwa wengine wenye kugusa wake za watu. Na nitasema nilikuwa na linda mali yangu zidi ya wezi.
 
Alianza To yeye kipindi anajiita Bees Mom akaja Lamomy akijiita CuteWife akaja Leejay49 watu wakawa wanapapatika sasa ni zamu ya ephen_ nae atapita akishampata wa kumuagizia BAGA wakaenda Movie kisha wakapiga SELFIE,

WHO IS NEXT? Maua Sama Komasava?

NB: HAO wote nimewataja hapo sasa wamepoa km UJI wa mgonjwa wameshapata visugulio vya JF sasa wametulia tuliii ukimuondoa Lamomy na Kapeace
🤣🤭
 
Naipenda hii. ID lakini ananipuuzia nikilike nyuzi zake yeye alike zangu, kila siku namquote namtaja jukwaani lakini anijibu moyo unauma namuona na wengine anacheka nao anawajibu PM kafunga nilimuomba afungue hajajibu sijui nilimfanyaje id yake inaanza na e.... Nataka awe mpaka mama wa watoto wangu.
Nani, Lucas Mwashambwa?
 
Back
Top Bottom