Haumnanilii vizuri bwana ndio maana nikakwambia litumie dushelele vizuri atakuelewa tu ukimfikisha kunako,haumfikishi ndio maana she got nothin to loose! Jitume kijana simamia kucha mkuu au kama hauwezi nitumie namba zake uone kama hajakutukana baada ya wiki tu!
Nenda nae taratibu atabadirika hila jitahidi sana kulitumia dushelele lako vizuri hili mtoto atulie huyo!
mnanilii vizuri... kila utachosema atakubali
Mbona umeanza utani mkuu? Unataka ku-share kitu ki 1 na mimi? Nitake radhi mkuu, hapa natafuta ushauri, sitafuti mtu wa kuninyanganya na kunifanya nitukanwe.
Kwa kauli zake, anasema kitu kinamtosha! wala sina wasiwasi kuhusu hilo!
Mwanzoni alikuwa na nidhamu ya woga, baada ya kuzoeana ndo vitabia vinaanza kuibuka taratibu!
Ndio hali ya kawaida hiyo. Kwenye Interview unajibu yale tu uliyoulizwa na mfanyaji wa interview anawajibika kuulizia yale maswali muhimu.Pia wewe ulipojenga uhusiano nae uliwajibika kuangalia yote ambayo unayaona ni muhimu kwako.Na kama uliyadharau kwa kuona labda urembo ndio kigezo chako basi pole kwa kuvuna ulichopanda.
Sasa ndg, kama m2 nampa mambo hadi anasaau kuvaa ile kitu ya ndani, kweli hapo kwa nini nisijiamini kwamba mambo nampa ya uhakika?
Mnasema tu jamani
mtoto wa uswazi ukipendwa na wa kishua tabu tupu
Full lugha gongana, kama si mvumilivu lazima akukimbie.
Vitu kama 'manina, mamaye, mngese ni viuganishi tu basi mtu anakooonda.
As long as ni wife material sioni kwa nini umuache lol
AHHHAAH HALOOOOOOOOOOOOOO Mwanamme kujiamini babu kama unahakika na bidhaa yako usijifarague kwa nini? lolKwa kauli zake, anasema kitu kinamtosha! wala sina wasiwasi kuhusu hilo!