Nampenda ila uwezo sina

Yaaniii naumia sanaa [emoji17] [emoji17]
 
sasa we umempendea nini kidemu chenyewe kibaya hakina hata nyama,kwanza kifupi kama mpiga ngoma za sikinde
 
Wewe ni mtz.ila umenifanya nimecheka sana kwani huyu dada si mnigeria.naomba unijibu kama ni mtz
 
Kupenda hakuangalii umbile bwna ni haki yake kumpenda kwan huyu dada hatakiwi kupendwa jamani kwa ajiri ya ufupi wake
sasa we umempendea nini kidemu chenyewe kibaya hakina hata nyama,kwanza kifupi kama mpiga ngoma za sikinde
 
Ndio mm ni mtoto wa tandalee kwa mfuga mbwa binti ni mghana ila nampenda sana
 
Nasoma tena labda ckuelewa vzr
Nimesoma tena mshaurini akamwambie maisha kitu kizuri ni kufanikiwa kupata unayoyapenda hata kama kwa wengine hayana maana. A good thing in life is to achieve what you want.
 
Ameshasoma thread yako ata ku PM soon
 
Njoo kwangu uchukue nauli na mahari, uje siku yoyote isipokuwa jtatu,jnne,jtano,Alhamis,Ijumaa,jmosi wala jpili hizo siku sitakuwepo.
 
Njoo kwangu uchukue nauli na mahari, uje siku yoyote isipokuwa jtatu,jnne,jtano,Alhamis,Ijumaa,jmosi wala jpili hizo siku sitakuwepo.
[emoji17] [emoji17] [emoji17]
 
Daaah, pole sana mwana,,naona umejaza picha kwenyw album kama vitabu vya series,,,Ishia kungalia picha tuu,,utazoea tuu
 
Daaah, pole sana mwana,,naona umejaza picha kwenyw album kama vitabu vya series,,,Ishia kungalia picha tuu,,utazoea tuu
Sichoki kuzitizama pia Sichoki kumuwaza hakika amenifunga minyololo bolibo zake japo kiduchu anastahili kuitwa mrembo katika hii dunia
Nsaidie mkuu nishanasa mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…