dekitambi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2015
- 663
- 762
- Thread starter
- #21
Yaaniii naumia sanaa [emoji17] [emoji17]Ahaaaaaa loh si utafte huku kwetu? Ni kweli huyo dada ni mrembo wa sura ila hapa tz kuna vifaa vya kumzidi. Labda kama unavutiwa na ufupi wake.
Dah mapenzi upofu pamoja ma yeye kuolewa tena mara mbili bado unachananyikiwa? Mapenzi kidumu chama cha mapenzi