atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Sio mwanamke na nandhani ungesema hakuna binadamu mkamilifu ingekaa poa zaid
Hivi wanaume kwanini hamtaki kukubali kuwa hakuna mwanamke mkamilifu? Mbona mnalazimisha wanawake wawe wakamilifu kwanini hamtaki kuvumilia mapungufu ya wanawake?