Nampenda lakini hana shape wala kalio, nifanyaje?

Nampenda lakini hana shape wala kalio, nifanyaje?

Usiseme ivo mdau wanawake wanavadilika usiombe kuna my friend wangu alifall in love na kademu kamoja kadogo ila kazur sema kalikuwa hakana akakaa nacho km miaka 5 mbele hv sasa hv uyo dads ana figa na umbo plus na uzur wako dah hatar tupu mm mwenyewe nataka nivunje urafik nijitose
Vipi wewe umemzidi Makonda kalio?
Chukua guyo dada

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Ninao tatizo hawaba real love ni hela hela tu mwanzo mwisho afu wengine wana sura ngumu
Sasa mkuu wee unataka real love au unataka demu mwenye shape ufaidi.

Bwana demu akiwa hana shape atadaije mihela bwana wewe.

Mwanamke mzuri ana haki ya kudai mihela. Ni sawa na wewe uwe na phd alafu bwege mwengine ana kidegree hamuwezi kulipwa sawa.
 
mke wa kuoa na yule wa kustarehe ni vi2 tofauti kabisa,
mke wa kuoa lazima upate Amani ya roho na utulivu wa akili, sio mwili wala macho.
 
Habaran wana jamii forum hope kila mmoja yupo on way back to home baada ya mihangaiko sasa basi nimeona nishare na nyiny hii mada ok let go on

Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy

Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana

Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana

Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn

Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo

Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya

Naomben ushaur nifanyaje

NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa
Huezi pata mwanamke mwenye kila kitu bhana.. Kama umeridhika naye, weka kunyumba!
 
Daaaah. humu duniani kuna vioja sana.
Ila naamini metamorphosis ya ukuaji lazima binadamu wote waipitie ili wapate kuwa watu kamili zaidi wenye akili timamu na hekima ya maisha zaidi.
 
Habaran wana jamii forum hope kila mmoja yupo on way back to home baada ya mihangaiko sasa basi nimeona nishare na nyiny hii mada ok let go on

Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy

Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana

Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana

Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn

Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo

Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya

Naomben ushaur nifanyaje

NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa
Mmh naandika nafuta kwakwel nimeshindwa hata kukujibu maana yako n mazito
 
[emoji23] [emoji1787] [emoji23] [emoji1787]
Hivi ni kweli tupo uchumi wa kati?
 
Ukimpenda mtu mpende jinsi alivyoumbwa cha kwanza kumbadilisha mtu alivyoumbwa maana hujampenda sasa tafuta mwenye umbile zuri na shape nzuri
Je angekuwa kilema ungelazimisha asiwe kileMa
Tuwapende watu na kuwakubali walivyo
 
Huyo modooo humpendii sena tu hapendi helaa anakupaa puss bure buree... Makalioo yanapendaa helaa jamaniiii yanii sijawahii kuwa na mwanamke mwenye shape asiyependa helaaa...
 
Habaran wana jamii forum hope kila mmoja yupo on way back to home baada ya mihangaiko sasa basi nimeona nishare na nyiny hii mada ok let go on

Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy

Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana

Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana

Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn

Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo

Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya

Naomben ushaur nifanyaje

NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa
Huyo mke ni wako au wa JF? , km ni wa kwako basi maamuzi yapo mikononi mwako,lkn km ni wa JF hapo upo sahihi kuomba ushauri hapa.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Kumcheat namcheat ila KUMTENDA SIWEZO...[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]..
[emoji28] [emoji28] [emoji28] hajakua vema! Hafikirii mke bora na mama bora kwa watoto wake anachofikiria ni hiyo kasoro moja tu aisee!!!!
 
Kasoro yake ni tako sijui kasoro yako wewe ni nn!!??? Ushawahi kuwaza siku na yy akikutajia kasoro yako? Utajutraaaaa
 
Back
Top Bottom