Nampenda lakini hana shape wala kalio, nifanyaje?

Nampenda lakini hana shape wala kalio, nifanyaje?

Hofu ya Mungu ndio kitu gan icho huwa nasikiaga hii kaul cjawah kuielewa kuna madada yanaenda kanisan mm nikajua labda hayo ndio yana hofu ya Mungu kumbe yale ndio masumbufu usipime
ushawai zidishiwa chenji dukan?
 
Hivi wanaume kwanini hamtaki kukubali kuwa hakuna mwanamke mkamilifu? Mbona mnalazimisha wanawake wawe wakamilifu kwanini hamtaki kuvumilia mapungufu ya wanawake?
kwa sababu hatupo tayar kuvumilia kula mifupa akati steki zpo
 
kaka, kama kwel. haya unayoyasemaa ni kwel ushauri. huu hapaa

sisi tumeowa kwa kuangalia urefu, figure na mengine mwisho wa siku tunaumiaa! mtu hata akili yan!! htr

angalia vitu tatu

1. mnapendana
2. Anakusaport kwa kile unachokifanya
3. ana tabia nzur
siwez oa kamke kafupi eti kisa kananpenda na kunisapoti NEFAAA.Ukiwa nae njian kama uko na mwanao
 
Body shaming,akijiloga akaharibu mwili wake Kwa surgery lazima kuna kingine utataka , wanaume mda mwingine hamjui mnahitaji nini,hata ukipata mwanamke aliekua na vyote still hautoridhika, mwanaume wangu ananifikishiaga ujumbe Kwa utani Ila najua kabisa anamaanisha mfano "mtazame flat ass "nacheka na mjibu huko nje huwaoni wenye makalio au kabla hujaja kwangu hukuyaona kiukweli alikua ananibody shame sana dawa kumpuuza namjib tu makalio haya madogo yanaendana na walet yako
 
kwa sababu hatupo tayar kuvumilia kula mifupa akati steki zpo
Hilo siyo jibu! Hakuna binadamu mkamilifu hivyo hata ukisema umuache mmoja uende kwa mwingine lazima nako utakuta mapungufu tu sasa ninyi mnalazimisha mwanamke mmoja awe amekamilika yaani eti awe na sifa zote nzuri!
 
Wewe mtoto umenichekesha, ati unatoka nae mnakula vizuri, unaishia kunenepa wewe? Dah naipenda jiefu😂😂😂😂😂😂😂.

Kama hana shape by nature usiombe anenepe maana ataishia kuwa na tumbo tu. Wewe mwache hivyo hivyo, akizaa tu ataongezeka.

Marafiki zako usiwasikilize wanakukatisha tamaa umuache wachukue nafasi.
 
Habaran wana jamii forum hope kila mmoja yupo on way back to home baada ya mihangaiko sasa basi nimeona nishare na nyiny hii mada ok let go on

Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy

Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana

Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana

Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn

Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo

Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya

Naomben ushaur nifanyaje

NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa
Ovyooo......
Muumbe wa Kwako
Nyie ndio mnaosababisha wadada wanjiingiza kwenye mambo yasiyofaa kama plastic surgery au kutumia madawa ya kuongeza shape ili kumridhisha mwanaume. Na worse enough ni kwamba hawaridhiki na hawaja wahi kuridhika. Mwisho wa siku unam dump unatafuta mwingine.

Na inaonyesha hata ukimpata mwenye shape akisha zaa watoto kadhaa utaanza kumwona kama kifaru maana umempendea shape.
Kuwa na mwanaume design yenu ni majanga matupu
 
Una miaka mingapi???sidhan km umefika 23 hlf rafiki yako anaongea kuhusu mwili wa mwanamke wako!!!!serious????????? Hao marifiki watoto wenzako unawatoa wapi???



Tatu,huyo nipe mimi aiseeee ndo mambo yangu hayo[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Habaran wana jamii forum hope kila mmoja yupo on way back to home baada ya mihangaiko sasa basi nimeona nishare na nyiny hii mada ok let go on

Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy

Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana

Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana

Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn

Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo

Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya

Naomben ushaur nifanyaje

NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa
Shepu na makalio vyote vinauzwa dukani siku hizi.
 
Ukitaka kuanza kumbadilisha mtu eti ndo utampenda zaidi..Huyo unakuwa hujampenda...Leo unasema tako na hipa..kesho utasema tumbo..keshokutwa makunyanzi usoni.

Tafuta wavigezo vyako...Huyo hujampenda jinsi alivyo..Usitake ajiharibu kisa eti utampenda zaidi...akifanya hayo kesho utasema tako lenyewe sio natural Lina manundu nundu...

SOLUTION: Hujarizika nae 100%...tafuta wa sifa na hadhi yako
Hivi inawezekana ukaridhika na mtu kwa asilimia 100 eeh?
 
Huyoo kweli hakufai mkuu naomba nipatie mie Mana mi mwenyewe Sina shape
 
Habaran wana jamii forum hope kila mmoja yupo on way back to home baada ya mihangaiko sasa basi nimeona nishare na nyiny hii mada ok let go on

Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy

Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana

Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana

Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn

Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo

Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya

Naomben ushaur nifanyaje

NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa
Jamani tukisema mwanamke tako mnabishaga haya sasa umeona.

Mwanamke ishu sio tabia bwana kwanza mwanamke akivutie sexually ndio uanze kuangalia hayo mengine.

Acha ufalaaa wewe nenda kachukue mwanamme ambaye ana matiti na tako maana unaelekea kupenda vyote.
 
Mwanaume unajisifia kunenepa ??
Wakati wengine tunakataa unene??

Hakika hakika hizi siku chache zilizo baki tusifanye makosa "

28 OCTOBER.
 
Back
Top Bottom