Nampenda lakini hana shape wala kalio, nifanyaje?

Nampenda lakini hana shape wala kalio, nifanyaje?

Mpeleke alipotengenezwa wamfanyie modification. Je, wewe upo sawasawa kwa mtazamo wako?
 
Famba mwenyewe km huna kalio peleke povu kule kwan lazima uchangie poor mind ungepita tu kimya kimya ungepungukiwa nn BITCH
Famba kweli wewe, eti huna kalio kalio, wewe unalo ndiyo linalokulipia bills?? Hongera Mwenye mikalio yako ,sasa unataka na mpenzi wako awe na kalio wakati tayari unalo wewe dooh🤭
 
Ungekua unampenda usingeona hizo kasoro za shepu wala kalio, jitafakari upya na uwe na uhakika na maamuzi la sivyo utakuja kumtenda tu
Kumcheat namcheat sikatai lkn kumtenda siwez nampenda i really love her
 
Hivi wanaume kwanini hamtaki kukubali kuwa hakuna mwanamke mkamilifu? Mbona mnalazimisha wanawake wawe wakamilifu kwanini hamtaki kuvumilia mapungufu ya wanawake?
 
Habaran wana jamii forum hope kila mmoja yupo on way back to home baada ya mihangaiko sasa basi nimeona nishare na nyiny hii mada ok let go on

Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy

Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana

Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana

Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn

Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo

Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya

Naomben ushaur nifanyaje

NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa
Kwenye aya maisha ukisema umtafute mwanamke au mwenza mwenye kila sifa utakazo utafel broo. Kama unampenda uyo mwanamke usiangalie mapungufu yake. Kingine acha kusikiliza mawazo ya marafiki zako. Nadhani nao wanawapenzi na wanakasoro either zinaonekana au nizandani. Ila wanawapenda ivo ivo. Naamini ata akiongeza ilo tako bado utamcheat mwanzo utaona sawa ila itafika atua utasema namtaka mwenye shape yake OG, au bora ungekuwa kama zamani.
 
Ninao tatizo hawaba real love ni hela hela tu mwanzo mwisho afu wengine wana sura ngumu
we ni mzuri eeh? au ndo wanakuvumilia ni vile wanashindwa kukwambia ? sasa wennye makalio hawako real
Tafuta aliye real, tafuta mwingine mwenye kalio, mwingine mwenye sura, tafuta na asiependa hela date nao then focus kwenye uchaguzi mkuu jombaa
 
Kumcheat namcheat sikatai lkn kumtenda siwez nampenda i really love her
Kumcheat ndio kumtenda kwenyewe kwa sababu unaumiza hisia zake, lets say siku akigundua unacheat, what will happen? Ataumia sana i gues,na nsio kumtenda kwenyewe huko
 
Dah! Sasa Kama unampenda kwanini usiridhike nae, mkuu ukicheza ipo siku utaikumbuka hiyo shapeless 🤣🤣
 
kaka, kama kwel. haya unayoyasemaa ni kwel ushauri. huu hapaa

sisi tumeowa kwa kuangalia urefu, figure na mengine mwisho wa siku tunaumiaa! mtu hata akili yan!! htr

angalia vitu tatu

1. mnapendana
2. Anakusaport kwa kile unachokifanya
3. ana tabia nzur
 
Ukitaka kuanza kumbadilisha mtu eti ndo utampenda zaidi..Huyo unakuwa hujampenda...Leo unasema tako na hipa..kesho utasema tumbo..keshokutwa makunyanzi usoni.

Tafuta wavigezo vyako...Huyo hujampenda jinsi alivyo..Usitake ajiharibu kisa eti utampenda zaidi...akifanya hayo kesho utasema tako lenyewe sio natural Lina manundu nundu...

SOLUTION: Hujarizika nae 100%...tafuta wa sifa na hadhi yako
 
H
kaka, kama kwel. haya unayoyasemaa ni kwel ushauri. huu hapaa

sisi tumeowa kwa kuangalia urefu, figure na mengine mwisho wa siku tunaumiaa! mtu hata akili yan!! htr

angalia vitu tatu

1. mnapendana
2. Anakusaport kwa kile unachokifanya
3. ana tabia nzur
Hv vyote anavyo tupo in touch ktk kila jambo
 
Ukitaka kuanza kumbadilisha mtu eti ndo utampenda zaidi..Huyo unakuwa hujampenda...Leo unasema tako na hipa..kesho utasema tumbo..keshokutwa makunyanzi usoni.

Tafuta wavigezo vyako...Huyo hujampenda jinsi alivyo..Usitake ajiharibu kisa eti utampenda zaidi...akifanya hayo kesho utasema tako lenyewe sio natural Lina manundu nundu...

SOLUTION: Hujarizika nae 100%...tafuta wa sifa na hadhi yako
Kuna mwingine ana matako lkn tamaa kibao
 
Back
Top Bottom