Nampenda lakini hana shape wala kalio, nifanyaje?

Nampenda lakini hana shape wala kalio, nifanyaje?

Habaran wana jamii forum hope kila mmoja yupo on way back to home baada ya mihangaiko sasa basi nimeona nishare na nyiny hii mada ok let go on

Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy

Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana

Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana

Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn

Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo

Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya

Naomben ushaur nifanyaje

NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa
Pia tafuta ndugu yake wa karibu tafuna na ajue umetafuna ili hata mkiachana iwe ngoma droo sio kesi
 
Pia tafuta ndugu yake wa karibu tafuna na ajue umetafuna ili hata mkiachana iwe ngoma droo sio kesi
Sasa huu ndio ushaur gan sasa nikale na ndugu zake afu yy ajue mmh hpn labda asijue aambiwe
 
Uyo ni wa kufanya nae maisha ukitaka kuchepuka tafuta pisi moja kali hata akikufuma anakuaa mpole we vp sasa ndo ashaumbwa hvo
 
Uyo ni wa kufanya nae maisha ukitaka kuchepuka tafuta pisi moja kali hata akikufuma anakuaa mpole we vp sasa ndo ashaumbwa hvo
Ndio game ninalolicheza hapa ila kwann kwann asiwe na kila kitu mm ntulie
 
Kapicha plz, angalau kutoka kiunoni kushuka chini .
Mashine vipi?
 
Habaran wana jamii forum hope kila mmoja yupo on way back to home baada ya mihangaiko sasa basi nimeona nishare na nyiny hii mada ok let go on

Nipo kwrnye relationship na msichana fulan jina kapuni for 4 years now nampenda sn na hii ni kwa sababu hakuna mwanamke aliewah pitia njia ambazo tumewah pitia mm na yy

Nampenda na wengine nawadanganya tu NIYEYE iko proved ndan ya moyo wangu km nampenda ana kila kitu ambacho msichana anatakiwa awe nacho lkn figa hana

Nimejaribu sn kwenda nae out nara kadhaa huko tunakula vitu vzr kuku.chipsi.kitimoto lkn ajabu ni kwamba mm ndio nimekuwa nikinenepa lkn yy yupo vile vile kwa umbo yy sio mwembamba wala mnene ni wa kawaida ila figa hana au niseme kalio hana

Nimejaribu nikiwa nae namuonesha picha za wanawake wenye mashape makusud ili nae apate hamasa ya kuwa km wao ata kwa kutengeneza lkn wapi kuna siku nilitoka nae out kesho nikampigia simu nikamuuliza umekula nn akajibu ameshindia uji toka asubuh nilishtuka sn

Nikagundua kuwa kumbe tukitoka out akirud home anaanza diet kumwambia ukwel kwamba nataka awe na figa nzur nashindwa maana nahis inaweza kumuumiza sn moyo

Mbaya zaid rafik zaid rafik zangu pia wanakuwa wakidai kuwa hana figa jambo ambalo linasababisha nijisikie vibaya

Naomben ushaur nifanyaje

NB : pia nipo kwenye relationship na dada mmoja ana shape lkn sura sio nzur sn afu kifuan matiti madogo nipo nae lkn simpend kuzid uyo w apo juu sababu uyu matako kaja kwangu sababu ya shida zake tu na ana omba omba hela ovyo namm nampisha kalendaWapo wengine wana sifa zao lkn siwapend km uyo wa apo juu na km angekuwa na shape tu basiiiiiiii ningekuwa nimekwishaaaaaaaaaaaaaaa
Ungekua unampenda usingeona hizo kasoro za shepu wala kalio, jitafakari upya na uwe na uhakika na maamuzi la sivyo utakuja kumtenda tu
 
Muoe huyo huyo maana ukioa anaekubalika kwa marafiki na jamii yote atakuua kwa presha.

Umeshajiuliza ukimuoa mwenyetako siku likipotea na kukongoloka mkiwa kwenye ndoa utafanyaje? Muoe huyo flat screen anaonekana ni mwanamke anaejielewa na atakua mzazi mzuri kwa watoto.
 
Muoe huyo huyo maana ukioa anaekubalika kwa marafiki na jamii yote atakuua kwa presha.

Umeshajiuliza ukimuoa mwenyetako siku likipotea na kukongoloka mkiwa kwenye ndoa utafanyaje? Muoe huyo flat screen anaonekana ni mwanamke anaejielewa na atakua mzazi mzuri kwa watoto.
Wazo zur !! Kuna bidada mmoja nilimpendea tako kuna kipind alikonda nikawa sina jinsi ikabid nimpige chin
 
Back
Top Bottom