atlas copco JF-Expert Member Joined Jun 15, 2015 Posts 8,497 Reaction score 9,728 Oct 22, 2020 #161 Sio mwanamke na nandhani ungesema hakuna binadamu mkamilifu ingekaa poa zaid Zoë said: Hivi wanaume kwanini hamtaki kukubali kuwa hakuna mwanamke mkamilifu? Mbona mnalazimisha wanawake wawe wakamilifu kwanini hamtaki kuvumilia mapungufu ya wanawake? Click to expand...
Sio mwanamke na nandhani ungesema hakuna binadamu mkamilifu ingekaa poa zaid Zoë said: Hivi wanaume kwanini hamtaki kukubali kuwa hakuna mwanamke mkamilifu? Mbona mnalazimisha wanawake wawe wakamilifu kwanini hamtaki kuvumilia mapungufu ya wanawake? Click to expand...
zege la nyasi JF-Expert Member Joined Sep 18, 2018 Posts 938 Reaction score 1,255 Oct 22, 2020 #162 Kabla ya kuweka mwenye kawaulize waliooa kisa shepu mambo n vp? Hayo maumbo yanabadilika...... Mwisho, "...tunaoa tabia...."
Kabla ya kuweka mwenye kawaulize waliooa kisa shepu mambo n vp? Hayo maumbo yanabadilika...... Mwisho, "...tunaoa tabia...."
Aidanna JF-Expert Member Joined Oct 25, 2019 Posts 1,810 Reaction score 2,844 Oct 23, 2020 #163 Jamani wanaume Mungu anawaona.......
bullar JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 9,530 Reaction score 20,988 Oct 23, 2020 #164 Behaviourist said: Huyu wa kwangu kwa chura hili plus kiuno cha nyigu simwachi ng'ooo, kama ni sura hata mbuzi anayoView attachment 1605151 Click to expand... [emoji14][emoji39][emoji39]
Behaviourist said: Huyu wa kwangu kwa chura hili plus kiuno cha nyigu simwachi ng'ooo, kama ni sura hata mbuzi anayoView attachment 1605151 Click to expand... [emoji14][emoji39][emoji39]
bullar JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 9,530 Reaction score 20,988 Oct 23, 2020 #165 bhachu said: Kama hana kalio, anakataje Gogo sasa? Click to expand... [emoji23][emoji23]