Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hahaha mkuu unakereka?Mfuate PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mkuu unakereka?Mfuate PM
Mtoto huyu yupo chuga hapa(According to posts za JF) mbona unafeli mkuu?..
Na usiwe na wasi,vumbi la kinshasa nitakufowardia mimi..Kidding
ledada kuna ujumbe wako huku wahiii tena bado wa motooo. 😆
Haya kunekucha sasa lol.
Hata ukihackfanya mpango uhack au hupendi kitonga lager
Kuna yule TraoleNimehack Nina coin si mchezo machezaji marefu 204 cm na wapo 100 wote..[emoji28]
Mkuu ntadili nao hata kwa figisu mpk nifike div 1..😂 yani div 5 na kushuka natoa visago utafikiri nawafundisha ila div 4 nakung'utwa Kama sijui..😅Kuna yule Traole
Huwa namkubali sana
Komaaa mkuuMkuu ntadili nao hata kwa figisu mpk nifike div 1..[emoji23] yani div 5 na kushuka natoa visago utafikiri nawafundisha ila div 4 nakung'utwa Kama sijui..[emoji28]
Ahaaa kumbe jitu lenyewe ni Sharobaro la jf basi sikutilii maanani, nilifikiri ni mtu wa maana anayezungumza haya.Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Usiogope hakuna dosari keshadata huyu hana pingamizi juu yako.. kamcheki mi Nile pilau ulete na wajomba dada yangu..😅
🤣🤣🤣imeisha hiyo broskiUsiogope hakuna dosari keshadata huyu hana pingamizi juu yako.. kamcheki mi Nile pilau ulete na wajomba dada yangu..😅
Wewe ndo mwenye maamuzi ya mwisho babu yanguUkiona hivyo ujue sijamwelewa mwathirika...
Yaani akuchukue kirahisi namna hii... kisa thread?
Ndo imeisha hiyo
So pilau lipo..?🤣🤣🤣imeisha hiyo broski
Ledada naona Mambo yako yanaelekea pazuri,,,,,,[emoji23]Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Bado dear🤣🤣🤣🤣🤣😅😅 Mchumba kaja wakati mzuri, kwani ushafanya shopping ya Christmas na mwaka mpya?
🤣🤣🤣🤣🤣kanidondokeaLesista kuna mtu anakuzimikia
Mkuu Njoo tucheze HACKERS best 2020 online game.Mkuu dream league umefika division ya ngapi..? Mi nimekomea div 4 pagumu sana hapo na ukilitimba ni mwingi.[emoji51][emoji51]
Halipo babu kakataaSo pilau lipo..?