Nampenda Ledada Wa Jf

Kuna yule Traole
Huwa namkubali sana
Mkuu ntadili nao hata kwa figisu mpk nifike div 1..😂 yani div 5 na kushuka natoa visago utafikiri nawafundisha ila div 4 nakung'utwa Kama sijui..😅
 
Mkuu ntadili nao hata kwa figisu mpk nifike div 1..[emoji23] yani div 5 na kushuka natoa visago utafikiri nawafundisha ila div 4 nakung'utwa Kama sijui..[emoji28]
Komaaa mkuu
Ipo siku utaingia div 1
Japo mm cjawai fika
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Ahaaa kumbe jitu lenyewe ni Sharobaro la jf basi sikutilii maanani, nilifikiri ni mtu wa maana anayezungumza haya.
 
Usiogope hakuna dosari keshadata huyu hana pingamizi juu yako.. kamcheki mi Nile pilau ulete na wajomba dada yangu..😅

Usiogope hakuna dosari keshadata huyu hana pingamizi juu yako.. kamcheki mi Nile pilau ulete na wajomba dada yangu..😅
🤣🤣🤣imeisha hiyo broski
 
Ukiona hivyo ujue sijamwelewa mwathirika...

Yaani akuchukue kirahisi namna hii... kisa thread?

Ndo imeisha hiyo
Wewe ndo mwenye maamuzi ya mwisho babu yangu

Nakusikiliza wewe
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Ledada naona Mambo yako yanaelekea pazuri,,,,,,[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…