Nampenda Ledada Wa Jf

Nampenda Ledada Wa Jf

Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Mkuu bila kapicha kidogo uzo Haunogi.

Hebu tupia picha japo nimjue[emoji4]
 
Ndo lipoje..
Hilo hapo mkuView attachment 1657740
Screenshot_20201223-183940.jpg
 
Mmmh isije ikawa mambo yale ya dada tuchat 😀 😀

Everyday is Friday.....................................😎
 
Back
Top Bottom