Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu


Mie siingilii ugomvi wa mtu na mkwewe.Mtaelewana wenyewe
 
Last edited by a moderator:

Kataa ukome.....unavurugwa kwenye tope tu
 
Hata mie naona nitangaze rasmi nipo upande wa Ben Saanane .Unastahili kabisa kuwa mama mheshimiwa. hao kina mjeda nina mashaka nao. wana masharti kibao utakonda bure.
MI mwenyewe nimeona nibwage tu manyanga, ila kwa roho safi ninamuunga mkono Ben Saanane achukue hilo jimbo la Madame B. Wanajeshi tatizo lao ni moja tu wanatumia ngumi kufikiria. Hata akikwambia nakupenda ni lazima ngumi zitembee sana, akikuambia asante unakuwa umeshapigwa mbata za kutosha
 
Last edited by a moderator:


Mambo si hayo! Ndio ninachokupendea boss wangu! Ukweli ukweli, uwazi uwazi. Kila la kheri!
 
mwaJ njooo uniokoe mwenzako presha inapanda, presha inashuka, presha inakata mauono hadharani jamani. Madame B kabebeka mzima mzima, kweli ukomandoo dili hapa mjini.

Best yangu Bujibuji mie nilikuambia uchangamke wewe ukabaki kuamini kuwa Madame B ni wako iwe iweje! Unaona sasa? Kukusaidia hapo labda nikutafutie glucose ya unga ulambe upate nguvu kidogo wakati nafikiria jinsi ya kupata tiba inayofaa.

Pia ngoja nimtafute mdogo wangu amu aje akae na wewe karibu akikutazamia hali yako kipindi hiki kigumu. Ila sasa na wewe hilo domo lichangamshe! Sio nakuletea mtu wa kukupepea unashindwa hata kumuomba akuletee maji ya kunywa. Lol!
 
Last edited by a moderator:
Pia ngoja nimtafute mdogo wangu amu aje akae na wewe karibu akikutazamia hali yako kipindi hiki kigumu. Ila sasa na wewe hilo domo lichangamshe! Sio nakuletea mtu wa kukupepea unashindwa hata kumuomba akuletee maji ya kunywa. Lol!
Akileta maji ya kunywa naanza kulia kwa kelele, taka tumbuaaaaaaaaaa.....
 
hivi Madame B umemuingiza huyu mwita maanya kwenye ukoo weu ilihali yeye ni CDM?? mwita BANA sasa kweli naona jitihada za kutumilikisha kadi mpya na tuziteme za chama kubwa umeshika kasi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…