Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Huku niko poa kabisa.
Sijui kipi kilikata mawasiliano.
Nakumbuka mkuu....
🤣 🤣 🤣 🤣 nadhani ni pilika tu za mjini madame. Otherwise niko powa sana. Ingawa na wewe kuna wakati ulipotea kabisa mtandaoni
 
🤣 🤣 🤣 🤣 nadhani ni pilika tu za mjini madame. Otherwise niko powa sana. Ingawa na wewe kuna wakati ulipotea kabisa mtandaoni
Yeah, majukumu mkuu.
Si unajua tena
 
Jumatatu royal hakuna ishu.
Tusubiri kesho chako tukacheze drums.
Aisee hata sipaelewi na hata Jana kulikua michosho,Dom j2 kunapoa mapema.Hata Leo j3 bado bila bila.

Kama Kuna sehemu Kuna unafuu nipe ramani mkuu.
 
Aisee hata sipaelewi na hata Jana kulikua michosho,Dom j2 kunapoa mapema.Hata Leo j3 bado bila bila.

Kama Kuna sehemu Kuna unafuu nipe ramani mkuu.
Jana na leo pako ziiii
Waswanu ndo kidogo panachangamkaga hata kama J3.
Sema sahv mziki ushazimwa.
Mbona nimepita hapo Chako ni chako pana happen?...sogea pale.
Nenda LaPatrona Nkuhungu, pale wanakesha japo leo hakuna vibe kama la weekend.
Au ukiona vp, sogea ple Calabash mitaa ya kwa waziri mkuu ukapate muziki.
 
Jana na leo pako ziiii
Waswanu ndo kidogo panachangamkaga.
Sema sahv mziki ushazimwa.
Nenda LaPatrona Nkuhungu, pale wanakesha japo leo hakuna vibe kama la weekend.
Au ukiona vp, sogea ple Calabash mitaa ya kwa waziri mkuu ukapate muziki.
Asante Sana mkuu,ngoja nielekee mitaa ya kwa Majaliwa nikaoshe oshe macho kidogo.
 
Back
Top Bottom