Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Kabisa aisee.Daaah!! So sad 😔😔
Nampenda sana popote alipo.
Haijalishi yu katika hali gani huko alipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa aisee.Daaah!! So sad 😔😔
Acha wivu basiHapa hakuna commando, bali tunao wapiga matofali
TrUe LoveKabisa aisee.
Nampenda sana popote alipo.
Haijalishi yu katika hali gani huko alipo.
Hahaaa basi ukipata usinisahau kwenye connectionsNipo mdogo wangu.
Itakuwa tunapishana majukwaa kipenzi.
Si unajua natulia nasubiri teuzi ya awamu ya tatu....hahahaha
Wewe tena nakusahauje mdogo wangu.Hahaaa basi ukipata usinisahau kwenye connections
Labda dayari yako iko fullHuku niko poa kabisa.
Sijui kipi kilikata mawasiliano.
Nakumbuka mkuu....
Inawezekana ati eeeLabda dayari yako iko full
🤣 🤣 🤣 🤣 nadhani ni pilika tu za mjini madame. Otherwise niko powa sana. Ingawa na wewe kuna wakati ulipotea kabisa mtandaoniHuku niko poa kabisa.
Sijui kipi kilikata mawasiliano.
Nakumbuka mkuu....
Yeah, majukumu mkuu.🤣 🤣 🤣 🤣 nadhani ni pilika tu za mjini madame. Otherwise niko powa sana. Ingawa na wewe kuna wakati ulipotea kabisa mtandaoni
Asije akapewa mambo yetu Yale akatoa Siri za kambi,Hahah.Inawezekana ati eee
Jumatatu royal hakuna ishu.Asije akapewa mambo yetu Yale akatoa Siri za kambi,Hahah.
Nakusalimu mkuu.
Niko royal hapa baada ya kutoka platinumz.
Aisee hata sipaelewi na hata Jana kulikua michosho,Dom j2 kunapoa mapema.Hata Leo j3 bado bila bila.Jumatatu royal hakuna ishu.
Tusubiri kesho chako tukacheze drums.
Jana na leo pako ziiiiAisee hata sipaelewi na hata Jana kulikua michosho,Dom j2 kunapoa mapema.Hata Leo j3 bado bila bila.
Kama Kuna sehemu Kuna unafuu nipe ramani mkuu.
Asante Sana mkuu,ngoja nielekee mitaa ya kwa Majaliwa nikaoshe oshe macho kidogo.Jana na leo pako ziiii
Waswanu ndo kidogo panachangamkaga.
Sema sahv mziki ushazimwa.
Nenda LaPatrona Nkuhungu, pale wanakesha japo leo hakuna vibe kama la weekend.
Au ukiona vp, sogea ple Calabash mitaa ya kwa waziri mkuu ukapate muziki.
Nimekuja kutembea dodoma, nimezurh hapa la patrona naona sex workers kibaoooo vijana hawaogopi Mungu kabisaÃ