Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

nikuringishie kwa lipi??
FYI hiyo kwangu ni salamu tu wala haina na baada ya salamu.
:censored:

002y054ZSyp.gif
 
hivi Asprin wewe ni baba kabisaa wa watoto wawili na mke kabisaa ama??
yumkini uzee wako unakurudisha ujanani mweeeeeeeeeeeeeh!

umeanza sasa kuchakachua uzi wa watu......................ama sijui ni nguvu ya guiness hii ama konyagi.
huko fyatanga kuna mambo.
 
Last edited by a moderator:
hivi Asprin wewe ni baba kabisaa wa watoto wawili na mke kabisaa ama??
yumkini uzee wako unakurudisha ujanani mweeeeeeeeeeeeeh!

umeanza sasa kuchakachua uzi wa watu......................ama sijui ni nguvu ya guiness hii ama konyagi.
huko fyatanga kuna mambo.
Hahahahaha wewe bana, fyatanga na kwaresma hii? Niko kikazi zaidi.... Mimi ni baba bora wa familia.

12203_574590382555384_665113889_n.jpg
 
He he he he....nafurahi sana kukumbukwa nawe Bishanga. Sijambo,namshukuru Mungu. Natumai u mzima pia!! :A S shade:

Mi mzima Michelle,vipi nguli wa mashairi hajambo? Mshapata mtoto?
 
Last edited by a moderator:
hivi Asprin wewe ni baba kabisaa wa watoto wawili na mke kabisaa ama??
yumkini uzee wako unakurudisha ujanani mweeeeeeeeeeeeeh!

umeanza sasa kuchakachua uzi wa watu......................ama sijui ni nguvu ya guiness hii ama konyagi.
huko fyatanga kuna mambo.
Vipi gfsonwin umeanza kupata mafeeling kwa mzee wa upako Asprin?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom