Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaniringishia au?:A S 39::nono:
:censored:nikuringishie kwa lipi??
FYI hiyo kwangu ni salamu tu wala haina na baada ya salamu.
Hata mimi nakutamani, nimemisi bashasha zako mwalimu wangu wa ukweli.
![]()
Niko nafanya mazoezi mpaka kieleweke...naona huna kazi ya kufanya anza kuimba sasa.
Hahahahaha wewe bana, fyatanga na kwaresma hii? Niko kikazi zaidi.... Mimi ni baba bora wa familia.hivi Asprin wewe ni baba kabisaa wa watoto wawili na mke kabisaa ama??
yumkini uzee wako unakurudisha ujanani mweeeeeeeeeeeeeh!
umeanza sasa kuchakachua uzi wa watu......................ama sijui ni nguvu ya guiness hii ama konyagi.
huko fyatanga kuna mambo.
Kweli nimeamini LIMBWATA lipo duniani.
Mi nishajitoa. Shem kama ulikua unaniwinda wakati wako ndo huu, I am free now!!
:A S-heart-2: :A S-heart-2::A S-heart-2: :A S-rose:
Mie ndo napenda ukinigwaya..means i will win u over..good afternoon.
Vipi gfsonwin umeanza kupata mafeeling kwa mzee wa upako Asprin?hivi Asprin wewe ni baba kabisaa wa watoto wawili na mke kabisaa ama??
yumkini uzee wako unakurudisha ujanani mweeeeeeeeeeeeeh!
umeanza sasa kuchakachua uzi wa watu......................ama sijui ni nguvu ya guiness hii ama konyagi.
huko fyatanga kuna mambo.
Zion Daughter ninavyotetemeka kwa woga usinifanye nikakimbia mtaa unaitwa jf!