Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Atazunguka nae kwa sababu wanapendana na tena WANAWAKE tunaweza ..hivyo na Madame B anaweza pia. Ben Saanane ana upendo wa dhati..nia anayo na uwezo pia anao..huyu ndio shemeji anatakiwa..sio huyu kiplagatu anabip bip halafu anatokomea kusikojulikana..

Yupo kwenye mazoezi bana chezea ukomando eeeh???
hilo debe unalopiga kama hujapewa tshirt ya M4C wewe sijui tu........
 
Yupo kwenye mazoezi bana chezea ukomando eeeh???
hilo debe unalopiga kama hujapewa tshirt ya M4C wewe sijui tu........

Nini tshirt nina gwanda tayari..baba yangu mwenyewe Mwita Maranya ni pipoooooooz!!!.
Hata wewe utakuja tu chama kubwa..just the matter of time...lkn tuache utani safari hii Madame B amepata mume wa ukwenheee Ben Saanane . Mie mwenyewe nashangaa mahekima ya madame b..
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
kumbe mkiambiwa ukweli kama ni matapeli wa mapenzi kwa kuwa na akaunt nyingi mnafuta comment hii kali tumesha kujua kuwa ndio zako jimama lizima linahadaa watu hapa haaa haaa haaaaa
 
Last edited by a moderator:
Khaa,
Hun acha ugomvi measkron anafagilia penzi letu tangu mwanzo....Ahh shem wangu huyu mtoto wa mjini
Madame B wacha wivu bhanaaa! wewe ulipokwenda Tanga na watu8 mbona ilikuwa poa tu wifi hadi nguo mkaweka begi moja? Ben Saanane huyu ni wifi yangu hebu ile engagement ring mvalishe atulie na mpunga mwezi ujao tunakula....
 
Last edited by a moderator:
Madame B wacha wivu bhanaaa! wewe ulipokwenda Tanga na watu8 mbona ilikuwa poa tu wifi hadi nguo mkaweka begi moja? Ben Saanane huyu ni wifi yangu hebu ile engagement ring mvalishe atulie na mpunga mwezi ujao tunakula....
measkron nitafanya hima shem wangu mpenzi
Khaa hivi ni kweli aliaenda TA na watu8 na akafanya hayo?halafu hakuniambia...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom