Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Kwanza naomba liedit kwanza ulitoe hilo jina kiplagati..hapo tutaelewana..shemeji yangu mimi ni mmoja tu..the one and only one Ben Saanane
Au ndo Evelyn Salt keshakuteka unataka uende kwa mjeda feki wa kichina..ukomandoo chaina???thubutuuu

Siku komando akishuka pale Airport wewe na huyu shemeji Ben mi nitakua nawaangalia tu....!!!!!!!!!
 
Mtumbwi ukizama hata viroboto hukimbia!

Kaka Bishanga wadada ni wa ajabu sana. Huyu Evelyn Salt alikua akiniita shemeji, na akawa aniambia eti Madame B ananipenda sana, eti hatutoachana mpaka kifo kitutenganishe.

Leo anadai Ben Saanane Ndio shemeji yake, mara sijui mjeda, kweli imeniuma sana kwa jinsi nlivyomgharamikia huyu demu.
 
Last edited by a moderator:
Kaka Bishanga wadada ni wa ajabu sana. Huyu Evelyn Salt alikua akiniita shemeji, na akawa aniambia eti Madame B ananipenda sana, eti hatutoachana mpaka kifo kitutenganishe.

Leo anadai Ben Saanane Ndio shemeji yake, mara sijui mjeda, kweli imeniuma sana kwa jinsi nlivyomgharamikia huyu demu.

Sikia wewe kwa Madame B we sio shemeji angu peke ako.....!!!!!!!!
Chimbuvu, Arushaone, Shark, Ben Saanane, tedo, Chilli n.k
hawa wooote ni mashemeji bila kmsahau my new shemeji Komando wa kichina....
 
Back
Top Bottom