Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
Una sahihisha kosa kwa kuweka kosa ! We vipi !?We jamaa vp ,kwani mi Mungu nisikosee??!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una sahihisha kosa kwa kuweka kosa ! We vipi !?We jamaa vp ,kwani mi Mungu nisikosee??!!!!!
Kwani uliandika 'Merital’ au ‘Martial’ status?!Nlikosea spelling, ni marital not merital
Huyu mimi pia huwa namtamani kwelikweli..naskia ni single mazaMdau ukifanikiwa niunganishie na Babra Hassan
Black beltMartial status .??
Aseee 😀 😀 😀 😀 ..
Mwanzo niliandika merital,jamaa akanikosoa nikarekebisha mana nilikuwa natype haraka still jamaa anasema nazidi kumpotosha lisha ya kurekebishaKwani uliandika 'Merital’ au ‘Martial’ status?!
Ukiandika Kiswahili hutopungua kitu mkuu,tukipende cha kwetu.
Marital statusnilitakiwa niandike vp mkuu
Uzuri wa mtu upo machoni pakeMmh! Ndiye huyu?? Na hapo ndiyo kamaliza makeup zote na mapozi?
Kweli ukipenda hadi chongo utaona kengeza.
Pole Mkuu..!Mwanzo niliandika merital,jamaa akanikosoa nikarekebisha mana nilikuwa natype haraka still jamaa anasema nazidi kumpotosha lisha ya kurekebisha
Kumbe kazuri eeh! Mi nakisikilizaga vile kanaongea kitotototo basi daaah!
unavyojielezea mkuu utasema umeshikiwa fimbo..punguza jazba kwnza umeze na mate mweeh!!Mwanzo niliandika merital,jamaa akanikosoa nikarekebisha mana nilikuwa natype haraka still jamaa anasema nazidi kumpotosha lisha ya kurekebisha
Nishapotezea mkuu, ni moja tu ya changamoto tunazokutana nazo ktk kutafuta elimuPole Mkuu..!
[emoji1] [emoji1] hamna jazba,kawaida tuunavyojielezea mkuu utasema umeshikiwa fimbo..punguza jazba kwnza umeze na mate mweeh!!
Uzuru wa mtu upo machoni pake
[emoji1] [emoji1] [emoji1] aya bhn,watu wa dar hamchok kutusimangaWanaume wa mikoan wanalishana matango poli tu.
Weeee..mama ana makuu yule.Mdau ukifanikiwa niunganishie na Babra Hassan