Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
ana ma
MENO.
MENO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamsikia "chicken wings"..hapo anaongelea kukuWeeee..mama ana makuu yule.
Hakawii kukwambia uende na fridge mpya ya milango sita coz aliyonayo ina miezi minne kwa hiyo imeshachoka, na hapo tu hiyo ndio simu yake ya kwanza kakupigia.
Sammisago ashapita nae wakati yupo Ea radioChakura ya ruge
Ea radioI see. Mamy huyu huyu aliekuwa EA Fm?
Beauty is in the eyez of the beholder.
People[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli mapenzi upofu.
Boss hadi bikra yake unaijua😀?Hana mtu na ni bikra..
Ni mrembo kuliko watangazaji wa kike kwenye radio nchini...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unavyojielezea mkuu utasema umeshikiwa fimbo..punguza jazba kwnza umeze na mate mweeh!!
Hongera kaka maana hapo una uhakika wa kula pekeyakoMwenye kujua marital status yake anieleze kaolewa ama pia kama kuna yeyote ana namba yake nombeni wadau am serious about this .
Au akipitia huu uzi anitafute kwa hii no
0628926348
Namba yake ya bahati ni 112Kweli ndege hutua kwenye mti aupenda.huyo Dada hana maajabu yeyote.kweli sisi tumetofautiana kimtazamo na kimatamanio.mimi nampenda. Ummy mwalimu waziri wa afya,mwenye namba yake plz
Hahahah huu utani sasaNapendaga midomo yake huyu mtoto,
Hunitakii mema weweNamba yake ya bahati ni 112
hahahaha unavompamba aiseeHana mtu na ni bikra..
Ni mrembo kuliko watangazaji wa kike kwenye radio nchini...