Nampenda member Eph

Nampenda member Eph

Status
Not open for further replies.

Mgalikoko

Senior Member
Joined
Mar 30, 2024
Posts
126
Reaction score
300
Huyu memba nampenda sana, mimi ni yule yule kijana wa makamo 40+. Wewe member nakupenda sana sijali watakachosema mimi na wewe mpaka kiama.

Nakupenda Eph kwanza hueleweki mchumba wako ni nani, humu wanakupaparikia ikiwemo mimi, nmekusoma sana kimyakimya lakini sikati tamaa.

Sema utakacho dear nitakupa.

Nakupenda hivyohivyo hata kama una mchumba.
 
Kwamba umedhamiria kweli au changamsha genge!
 
Acha wivu hunijui skujui
Mdg angu ngoja nikupe Ushauri..

1- Humu sio FB, behave
2- Usiwe lofa/fala wa Mapenzi.. usisimp kijana.
3- Tafuta HELA..
4- Matusi hayasaidii.. jenga hoja solid..

Mwisho kabisa, Mtoto wa watu anauguza Bwana ake yupo juu ya mawe...
 
Mdg angu ngoja nikupe Ushauri..

1- Humu sio FB, behave
2- Usiwe lofa/fala wa Mapenzi.. usisimp kijana.
3- Tafuta HELA..
4- Matusi hayasaidii.. jenga hoja solid..

Mwisho kabisa, Mtoto wa watu anauguza Bwana ake yupo juu ya mawe...
Sipo serious kama unavyofikiri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom