Nampenda Miss Chagga, ingawa simjui

Nampenda Miss Chagga, ingawa simjui

083b9aec235316ed3472e5f45f6dfe93.jpg
mkuu unakosea utasababisha msiba
 
Natamani sana Miss chagga angejua ninafuraha kiasi gani japo anapanga budget ama kwa hakika akibahatika kuniona atajuta kwanini hakunifahamu mapema.
 
Mimi ni mchagga wa marangu nimeoa na ninamtoto ila sijampenda kama mnavodhani.. bahati mbaya sipo mtandao wa kijamii zaidi ya whatsapp na jf...bila kusahau email addresses baaas
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Natamani sana Miss chagga angejua ninafuraha kiasi gani japo anapanga budget ama kwa hakika akibahatika kuniona atajuta kwanini hakunifahamu mapema.
 
miss Chaga mshabiki wa Chelsea yeye anamjua drogba tu
 
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Kwanini unanifanyia PNC?
ukiona vinaelea[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
PNC1 hapo cha kulike ni nini?unajua uchungu na maumivu ya moyo wewe...
 
PNC1 hapo cha kulike ni nini?unajua uchungu na maumivu ya moyo wewe...
[emoji13] [emoji13] [emoji13] umeona sasa umeingia mulemule kuwa ulikuwa unahtaj nafas ya zaid ya kujuana
 
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Kwanini unanifanyia PNC?
Uzuri kuna session ya pingamizi
 
Natamani sana Miss chagga angejua ninafuraha kiasi gani japo anapanga budget ama kwa hakika akibahatika kuniona atajuta kwanini hakunifahamu mapema.
ngoja mwenye mke aje..... utawam bwa km yesu msalabani.....
we humjui unampenda je mwenye mali alihaha kias gan. mPaka mtoto akaingia line af ww ulete mambo ya kupandia dau sahz
 
Back
Top Bottom