Nampenda mpendaaa!

Nampenda mpendaaa!

Hahaha nilitaka kushangaa Paprika nisingekuona hapa
Hapo mwisho tulikua tunamalizia
Kama karatasi peeppea
Kama kitenesi dundika
Unapepea huku unadunda dah

Utoto raha sana
Hahaha!!! Mimi nikosekane tena!!!

Ana dunda dunda ana dunda dunda ana dushh!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Suadiiiiiina!

Suadiiiiiiina!!!

Nampenda suadina, sudina, suadinaaa

Mama yake namjua, namjua, namjuaaa

Anauza vitumbua, vitumbua, vitumbuaaa

.......... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nana nanaaa
Nana
Nani aingie katiii
Nana
Acheze soolooo
Nana
Acheze mchikichulee

Zoa maganda
Peleka Uganda
Yamepanda bei sukuma waa miss chagga kaulegezaaaaaaaaa
Tehteh
Utoto raha sana
 
Hahaha!!! Mimi nikosekane tena!!!

Ana dunda dunda ana dunda dunda ana dushh!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Khakhaakhaaaaa
Wewe teinaaaaaa shogangu nakujua tangu enzi za kuchapwa dama mdako shekirede na mputo
 
Nana nanaaa
Nana
Nani aingie katiii
Nana
Acheze soolooo
Nana
Acheze mchikichulee

Zoa maganda
Peleka Uganda
Yamepanda bei sukuma waa miss chagga kaulegezaaaaaaaaa
Tehteh
Utoto raha sana
Basi hiyo sukuma waaaa!
Unanyanyua kimguu na ile movement ya matakoo kwenye kusema waaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mabata madogo madogo yanaogelea ktk shamba zuri la bustani
wanapenda kutembea bila viatu ktk shamba zuri la bustani
wanapenda kulia kwa kwa kwa kwa ktk shamba la zuri la bustani

mahondaw umenikumbusha utoto ila nilikua napenda zaidi hii michezo hii kombolela na kibaba na mama hivi hakuna nyimbo zake [emoji23][emoji23]
 
Huo ndio upi embu uimbe

Naana Nana
Nani aingie katiii
Nana
Acheze soolooo
Nana
Acheze mchikichulee
Zoa maganda Peleka Uganda Yamepanda bei sukuma waaaa Bonny kaulegezaaaaaaaaa
Huu pia hapo kwenye Zoa maganda Peleka Uganda mpaka mwisho ni ful kukatikaa
 
mabata madogo madogo yanaogelea ktk shamba zuri la bustani
wanapenda kutembea bila viatu ktk shamba zuri la bustani
wanapenda kulia kwa kwa kwa kwa ktk shamba la zuri la bustani

mahondaw umenikumbusha utoto ila nilikua napenda zaidi hii michezo hii kombolela na kibaba na mama hivi hakuna nyimbo zake [emoji23][emoji23]
Besti pole sana jamani kumbe ushatoka!!
Hongera sana kumbe nawewe ni mdau wa michezo ya utotoni eeeee

Naule wa
Maua mazuri yapeeendeezaaa
Ukiyatizamaa
Yanameremeetaa
Hakuna mabayaaa yasiyopendezaaa

Nzuu Nzuu Nzuu
Wemama nyuki lia Wee
Nenda mbali katafute ua zuri la chakula
Nzu nzuuu Nzuu Wemama nyuki lia weee
 
mmh gorofa umenipaisha sana .. hhahaha mama yangu alikuwa mkali hakuna kucheza
Hahahaahhahahaahahahahaha
Tatizo Mama alikua Anaogopa watakuficha kwenye kombolela haha
Utoto raha sana
 
Besti pole sana jamani kumbe ushatoka!!
Hongera sana kumbe nawewe ni mdau wa michezo ya utotoni eeeee

Naule wa
Maua mazuri yapeeendeezaaa
Ukiyatizamaa
Yanameremeetaa
Hakuna mabayaaa yasiyopendezaaa

Nzuu Nzuu Nzuu
Wemama nyuki lia Wee
Nenda mbali katafute ua zuri la chakula
Nzu nzuuu Nzuu Wemama nyuki lia weee
shost nilitoka jana acha tu umenikumbusha utoto

kutoka mbali kutafuta maua mazuri yapendeza
 
Back
Top Bottom