Nampenda mpendaaa!

Nampenda mpendaaa!

Sure..Starting over is not always a bad thing..Kila Mwanzo unaanzia pale mwisho ulipoishia
There you are there you are Kb
Asante kwa kuelewa lol
Like like like

Dahhhhhhhhhhh
Utoto raha sana
 
Naana Nana
Nani aingie katiii
Nana
Acheze soolooo
Nana
Acheze mchikichulee
Zoa maganda Peleka Uganda Yamepanda bei sukuma waaaa Bonny kaulegezaaaaaaaaa
Huu pia hapo kwenye Zoa maganda Peleka Uganda mpaka mwisho ni ful kukatikaa
Ha ha ha sie ilikua ukisika sukuma waaa mnakaa wote chini kwa pamoja ha ha ha nmeukumbuka aise hako ka mwimbo

Ila kizaz cha sa hv sijui kinapotelea wapi hakuna tena ile chemistry ya watoto wa mtaa mmoja kukaa pamoja kucheza
 
Ha ha ha sie ilikua ukisika sukuma waaa mnakaa wote chini kwa pamoja ha ha ha nmeukumbuka aise hako ka mwimbo

Ila kizaz cha sa hv sijui kinapotelea wapi hakuna tena ile chemistry ya watoto wa mtaa mmoja kukaa pamoja kucheza

Zama zimabadilika kabisa
Sikuhiz utasikia kitoto kidogooo kimekazana
Acha neno eka njikii acha neno eka njikii
 
Hahaha!!! Mimi nikosekane tena!!!

Ana dunda dunda ana dunda dunda ana dushh!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu Paprika ule wa byshoo ule spellings zake zinatatanisha kweli

Byshoo I love you baby ......
Huko mbele huko duhhhhhhhhhhh

Utoto raha sana
 
Halafu Paprika ule wa byshoo ule spellings zake zinatatanisha kweli

Byshoo I love you baby ......
Huko mbele huko duhhhhhhhhhhh

Utoto raha sana
Hizi ndio lyrics zake jiangalie mlikuwa mnaimbaje sasa utoton

By so by love to baby
(I swore I love you baby)

To baby to the sa
(You gave that to the sun)

The saa to de yona
(The Sun threw me yonder)

The yona to de meh
(And yonder I became a man)

De meh phude phude
(And then I grew threw that)
 
ahaaahahaaa nilikua sipitwi aiseee
Watoto wangu nyiee
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mimi baba yenu
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Sina nguvu tena
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Za kuua simba
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Simba ni mkali
Eeeeeeeeeeeeeeeeeee
Aliua bibi
Eeeeeeeeeee
Akaua babu
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Akaua mjomba
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Akaua Shangazi
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Simba huyooookoooooooo
Haya watoto wangu wooooteeee kimbilieni kwangu vuuuuuuuuuuuuuuuupp kwa baba
 
Hizi ndio lyrics zake jiangalie mlikuwa mnaimbaje sasa utoton

By so by love to baby
(I swore I love you baby)

To baby to the sa
(You gave that to the sun)

The saa to de yona
(The Sun threw me yonder)

The yona to de meh
(And yonder I became a man)

De meh phude phude
(And then I grew threw that)
Haha lol ngoja niendelee hapo mwisho tulivokua tunaimba sisi sasa ucheke
Dah Utoto raha sana
 
Watoto wangu nyiee
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mimi baba yenu
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Sina nguvu tena
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Za kuua simba
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Simba ni mkali
Eeeeeeeeeeeeeeeeeee
Aliua bibi
Eeeeeeeeeee
Akaua babu
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Akaua mjomba
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Akaua Shangazi
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Simba huyooookoooooooo
Haya watoto wangu wooooteeee kimbilieni kwangu vuuuuuuuuuuuuuuuupp kwa baba
Hahaahaha
nasaka mke wanguuu
nasaka mke wanguu
hapa hayupo
hapa hayupo
kaenda wapi
kaenda wapi
kaenda kusuka kaenda kusuka
kwa binti nani kwa binti nani
kwa binti juma kwa binti juma
Huu mti gani(Wa mchongoma)
Nikiukata(haukatiki)
Hata kwa panga(haukatiki)
Hata kwa shoka(haukatiki)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom