Nampenda mpendaaa!

Nampenda mpendaaa!

Halafu unakuta uliyemuimbia hivyo ikifika zamu yake anamuimbia mtu mwingine..Unabaki unaduwaa tu
Tehteh lazima amuimbie mwingine ili wote waishe otherwise wengine watakosa kutajwa na watanuna hawatacheza tena siku nyingine

Teh Kaboom Why give second chances while others are waiting for their first??
 
Lol vibaya hivooo shogaa
Namchungaaa
Namganda kila kona
Simpi hata upenyoo
Akilala ninae akiamka ninae bafuni ninae sebuleni ninae chumbani ninaee
Yani hapumuiii
Binadamu ni hatari sana, watamuiba tu hasa huyu shoga yako miss chagga.
 
Lol vibaya hivooo shogaa
Namchungaaa
Namganda kila kona
Simpi hata upenyoo
Akilala ninae akiamka ninae bafuni ninae sebuleni ninae chumbani ninaee
Yani hapumuiii
atakuwa haendi kutafuta pesa ? nitamkamata kazini
 
hahahaa hii nyimbo ilinimfanya rafiki yang ale kichapo cha maana ..alimtaja manzi mmoja anaitwa beusi na ile nivunje kikombe nisifunjee........watu vunjaaaaaaaaaaaaa
ukimsikiaaaaaaa.......Haji mchumba wake ... ......watu vunjaaaaaaaaa........ beusi haaahahaahaaa alikula kichapo heavy
 
"Bibiii!!!! Kajabwela tumbooo kamsokota katumbaku bweeeelaaaaaaa""""

Uuululululululululululululululullulululu
Safi sana wewe kumbe ni wamoja namimi io nyimbo naikumbuka
Imba ngoja niimbe byshoo
 
Tehteh lazima amuimbie mwingine ili wote waishe otherwise wengine watakosa kutajwa na watanuna hawatacheza tena siku nyingine

Teh Kaboom Why give second chances while others are waiting for their first??
Sure..Starting over is not always a bad thing..Kila Mwanzo unaanzia pale mwisho ulipoishia
 
hahahaa hii nyimbo ilinimfanya rafiki yang ale kichapo cha maana ..alimtaja manzi mmoja anaitwa beusi na ile nivunje kikombe nisifunjee........watu vunjaaaaaaaaaaaaa
ukimsikiaaaaaaa.......Haji mchumba wake ... ......watu vunjaaaaaaaaa........ beusi haaahahaahaaa alikula kichapo heavy

Uwiii alitaja mchumba wako nini???
Mi mchumba wangu utotoni alikua anaitwa S........
 
Back
Top Bottom