Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Utajuaje kama ni she or he ? Usikute ana tumia jina fake ,ukute unampenda dume MUMU.BE CAREFULLY MANJamani kusema kilichopo moyoni ni nusu ya ahueni hata kama haujakipata,kuna mwanamke humu anaitwa Mumu,kwanza jina tu huwa linanisismua since day one naliona,uchangiaji wake,hata akiongea pumba naona kapatia na ninafurahia,hivi hisia nazo ni ugonjwa au?
Mumu popote ulipo naomba utambue kuwa nakupenda,je kuna yeyote ana mtu wake anampenda humu JF na anahisi hawezi kumpata au kumwambia ukweli?
kama kuna muhanga mwingine kama mimi hapa ndio sehemu ya kujiripua,hauwezi kujua,may be leo ndio siku yako...i love u Mumu...
soonUliko niacha ukaniaga unaenda kupata breakfast hunie,
LOW THINKING CAPACITY,UNAFIKIRI UKIONA ID YAKO ATUKUSIKLIZAMwandikie barua
Awe mwali kamlongele mwali mwanamwali mwaliso that u can add your comment genius!
MKUU NAKUOMBEA UPATE HUYO MTOTO ANAONEKANA YUKO VIZURIso that u can add your comment genius!
Neighbour naona mambo mazuri hukuNimetoka muda si mrefu,.ibada ilikuwa moja Leo,.[emoji3]
Neibaaa,..nimeona kumbe namm naonekana etii[emoji23]Neighbour naona mambo mazuri huku
Unaona mambo hayo [emoji91] [emoji91] [emoji91]woyoooooooo woozer wozer woooozer[emoji23] [emoji23] [emoji23] mrs lubede
Toa jibu sasa au unataka kufungua uziNeibaaa,..nimeona kumbe namm naonekana etii[emoji23]
Uwii kuandika Uzi nilishashindwa,.nimekubali kuwa mpenzi mchangia tuu neiba,..majibu yako kwenye process[emoji38][emoji38]Toa jibu sasa au unataka kufungua uzi
Nasubiri kwa hamu kweli hilo jibu. Ngoja ngoja si nzuriUwii kuandika Uzi nilishashindwa,.nimekubali kuwa mpenzi mchangia tuu neiba,..majibu yako kwenye process[emoji38][emoji38]
Hahahahaa na mambo mazuri hayapendi haraka neibaNasubiri kwa hamu kweli hilo jibu. Ngoja ngoja si nzuri
Babe shem tutambulishaneNitampa tuu,.majibu si unajua yako ma3..[emoji1]
Acha nikae kimya nisubiriHahahahaa na mambo mazuri hayapendi haraka neiba