Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
nimeonaa ni hiviii[emoji91] [emoji91]Unaona mambo hayo [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeonaa ni hiviii[emoji91] [emoji91]Unaona mambo hayo [emoji91] [emoji91] [emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23]mmh shem babeeBabe shem tutambulishane
Ngoja nikuletee na juice ya ukwaju kabisaa my neighborAcha nikae kimya nisubiri
Ngoja tumsubiri mpendwa atoe nenonimeonaa ni hiviii[emoji91] [emoji91]
Itapendeza kwa kweliNgoja nikuletee na juice ya ukwaju kabisaa my neighbor
Babe shem umenitosa siamini[emoji23][emoji23][emoji23]mmh shem babee
Siwezi kukuangusha mm..japo ww uliniangusha kwenye birthday yako,Babe shem umenitosa siamini
Hamna...we tangu JF irejee hewani nakuita POSTA MPYA HAUJI [emoji19][emoji19][emoji19]Siwezi kukuangusha mm..japo ww uliniangusha kwenye birthday yako,
Heee,.hivi ule mzigo si utakuwa ume expire sasa,.looh[emoji19][emoji19][emoji20]Hamna...we tangu JF irejee hewani nakuita POSTA MPYA HAUJI [emoji19][emoji19][emoji19]
Za leo nzuri kabisaa mtumishi,tunazidi kuuona utukufu wa kiungu katikati ya maisha yetu....nimelikabidhi mikononi mwa aliye juu jambo hili..Mtumishi mumu habari za Jumapili?Natumaini u mzima.
Amani ya Roho mtktf iamue ndani yako..... nnasubiria majibu pia😀😀😀😀
tutachukua nyingine aisee baby shemHeee,.hivi ule mzigo si utakuwa ume expire sasa,.looh[emoji19][emoji19][emoji20]
Basi nakuja shem babetutachukua nyingine aisee baby shem
Sawa shem babeBasi nakuja shem babe
Umefanya jambo la kishujaa sana mkuu, huo ndio uanaume. Mwanume ni kama mnyama simba. Simba haogopi kuwinda eti kwa sababu atazidiwa mbio, na akisosa hakuna anaemshangaa. Haijawahi kua aibu wala vibaya kwa mwanaume kutongoza wala haijawahi kua vibaya wala aibu kwa mwanamke kutongozwa, on the contrary hiyo ni sifa. Ama kukubaliwa nau kukataliwa hilo ni jambo jingine ila ni yakawaida piaJamani kusema kilichopo moyoni ni nusu ya ahueni hata kama haujakipata,kuna mwanamke humu anaitwa Mumu,kwanza jina tu huwa linanisismua since day one naliona,uchangiaji wake,hata akiongea pumba naona kapatia na ninafurahia,hivi hisia nazo ni ugonjwa au?
Mumu popote ulipo naomba utambue kuwa nakupenda,je kuna yeyote ana mtu wake anampenda humu JF na anahisi hawezi kumpata au kumwambia ukweli?
kama kuna muhanga mwingine kama mimi hapa ndio sehemu ya kujiripua,hauwezi kujua,may be leo ndio siku yako...i love u Mumu...
Dada kapata mume dada kapata mume hatimaye sasa sitaki unililieOh my Gawd!!!....[emoji85][emoji85]
[emoji23] [emoji23]
Bahati hyo imekuangukia
Hahaha nitasema nini mimi nasubiria utoe jibu kwa mleta mada
Nitatoa jibu omega,.[emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi siondoki hapa mpaka nione jibu
Mfyuuuu[emoji23][emoji23][emoji23]kalagha-bao[emoji125][emoji125][emoji125]