Nampenda Mumu

Nampenda Mumu

Jamani kusema kilichopo moyoni ni nusu ya ahueni hata kama haujakipata,kuna mwanamke humu anaitwa Mumu,kwanza jina tu huwa linanisismua since day one naliona,uchangiaji wake,hata akiongea pumba naona kapatia na ninafurahia,hivi hisia nazo ni ugonjwa au?
Mumu popote ulipo naomba utambue kuwa nakupenda,je kuna yeyote ana mtu wake anampenda humu JF na anahisi hawezi kumpata au kumwambia ukweli?
kama kuna muhanga mwingine kama mimi hapa ndio sehemu ya kujiripua,hauwezi kujua,may be leo ndio siku yako...i love u Mumu...
Umefanya jambo la kishujaa sana mkuu, huo ndio uanaume. Mwanume ni kama mnyama simba. Simba haogopi kuwinda eti kwa sababu atazidiwa mbio, na akisosa hakuna anaemshangaa. Haijawahi kua aibu wala vibaya kwa mwanaume kutongoza wala haijawahi kua vibaya wala aibu kwa mwanamke kutongozwa, on the contrary hiyo ni sifa. Ama kukubaliwa nau kukataliwa hilo ni jambo jingine ila ni yakawaida pia
 
Back
Top Bottom