Nampenda Mungu tu

Nampenda Mungu tu

Bora mleta mada amajitambua ,sasa unakuta maboy wanateswa na mapenzi mpka kuja kulalamika humu😅😅😅
 
Sisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo.

Mi nampenda Mungu tu .
Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu,

Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss .

Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea kunipondea ila next year hesabu mie ni married woman
Mhhhh, huyu mwenzetu kavurugwa. Naona aliolewa kipindi cha Ramadhani na sasa anaimba wimbo wa Harmonize niko Single Again.
 
Japo walio serious wapo ila nao hawaamini mapenz ya humu. ..ivo kumpata MTU bora ni ngumu
Sidhani lsio Kwa sisi ambao tunatak kuanzisha familia nafikiri hapa sio sehemu salama sana tukutane huko mitaani yaishe
 
Back
Top Bottom