Nampenda mwanaume anaevaa miwani

Nampenda mwanaume anaevaa miwani

Every time I see the profile of a pervert, he has glasses on.

Beats Me.
 
stock-photo-black-african-man-posing-wearing-glasses-with-copy-space-457465762.jpg


e72a3df06d89eb0a6f23ffc1735e9136.jpg
 
Mmh. Lait ungejua hawaivai kwa kupenda wala usingesema mumy. Ila hongera kwa kufunguka.

Subiri wavaa miwani waje.
Dada nakwenda kununua na mimi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji41] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe nayo ni sababishi ya malove dovey

Jamii Forums mobile app
 
Dada nakwenda kununua na mimi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji41] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe nayo ni sababishi ya malove dovey

Jamii Forums mobile app
Bora kaka ake japokuwa sio wote. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Habari za leo wanajf........hope mko vizuri siku ya leo
hahaha mwenzenu nikiona mwanaume amevaa miwani hasa ile meupe ya wagonjwa macho nachanganyikiwa natamani anifate.....sio siri inawapendeza wanavutia tunabaki kuumia tuu rohoni.....
Ruhusa kunichamba lkn nshasema ukweli wangu
Una kaupendo kakizamani miaka ya 90...unahisi miwani ndo usomi au pesa..hutofautian na anayependa mwanaume anaendesha gari hata kama sio lake..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom