ustaarab unapimwaje?mi napenda mwanaume mstaarab
ustaarab unapimwaje?
ustaarab wa wabunge ndio dhihaka/umakalio wa Masubiri.
ustaarab wa masubiri ni ufisadi kwa wabunge
Akiwa mpole sana naye kuna madhara yake na pia akiwa mkorofi sana pia taabu, awe 50/50.
wewe ndiye unayeanza kuleta habari za sugu hapa!!!!!!!Wewe bado boys wanakufaa wewe.
Hivi Sugu ni bad boy?
go straightKumbe na wewe unapenda bad boys. Wewe ni bad girl?
Kumbe na wewe unapenda bad boys. Wewe ni bad girl?
Hapo kwenye red sifahamu, mwanaume akiwa 50/50 ndio poa.
go straight
don' go around the bush
wewe ndiye unayeanza kuleta habari za sugu hapa!!!!!!!
Nakubali SUGU ni bad boy-hardened Southern Highland rapper