IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,578
- 7,774
"Mwanaume kila kitu unachomwambia yeye ni sawa tu,na hata ukimkosea haonyeshi kukerwa na kosa_aaah mwanaume gani wa hivyo bana,mwanaume ni lazima achukue nafasi yake bwana"....siyo maneno yangu,ni maneno ya wadada/warembo niliokutana nao jana maeneo fulan huku tukijiuguza na mgao wa umeme.
My take:Je,..dada zetu mnapenda mwanaume wa aina ipi?...mkorofi kiasi vs mpole sana
I submitt,
My take:Je,..dada zetu mnapenda mwanaume wa aina ipi?...mkorofi kiasi vs mpole sana
I submitt,